Huyu Aubrein Modiba anacheza namba gani pale Mamelody?

Huyu Aubrein Modiba anacheza namba gani pale Mamelody?

Halafu kuna yule mwamba mwingine anaitwa Chriss Mudalu, huyu jamaa ni beki ila jana alikuwa kama vile ni winga. Mudalu alikuwa akipanda hauoni gap aliloacha kwa sababu kuna viungo wanamkabia.

Halafu katika soka la mchangani miaka hiyo tulikuwa tunaambiwa na makocha, wewe beki ukipanda, winga lazima urudi umkabie mwenzako.

Sasa pale Simba huwa naona kuna mechi Kapombe na Shabalala wakipanda ma-gap yao yanategemewa kuzibwa na Inonga na Malogne kitu ambacho ni hatari endapo itatokea kaunta ataki ya maana kama kilichotokea siku ile.
 
Jamaa hucheza kama Beki au Midfielder ila upande wa kushoto. Ukiangalia hata mechi na Wydad, Mamelodi walicheza 4-3-3, na Modiba alikuwa Left Midfielder .
 
Halafu kuna yule mwamba mwingine anaitwa Chriss Mudalu, huyu jamaa ni beki ila jana alikuwa kama vile ni winga. Mudalu alikuwa akipanda hauoni gap aliloacha kwa sababu kuna viungo wanamkabia.

Halafu katika soka la mchangani miaka hiyo tulikuwa tunaambiwa na makocha, wewe beki ukipanda, winga lazima urudi umkabie mwenzako.

Sasa pale Simba huwa naona kuna mechi Kapombe na Shabalala wakipanda ma-gap yao yanategemewa kuzibwa na Inonga na Malogne kitu ambacho ni hatari endapo itatokea kaunta ataki ya maana kama kilichotokea siku ile.
Huyu ni kama Yao wa Yanga.
 
Halafu kuna yule mwamba mwingine anaitwa Chriss Mudalu, huyu jamaa ni beki ila jana alikuwa kama vile ni winga. Mudalu alikuwa akipanda hauoni gap aliloacha kwa sababu kuna viungo wanamkabia.

Halafu katika soka la mchangani miaka hiyo tulikuwa tunaambiwa na makocha, wewe beki ukipanda, winga lazima urudi umkabie mwenzako.

Sasa pale Simba huwa naona kuna mechi Kapombe na Shabalala wakipanda ma-gap yao yanategemewa kuzibwa na Inonga na Malogne kitu ambacho ni hatari endapo itatokea kaunta ataki ya maana kama kilichotokea siku ile.
Kwa kweli sasa hivi Football imebadilika, ule uchezaji wa 4-4-2 kukalili nafasi, sasa hivi umekwisha. Mchezaji sasa hivi inabidi awe na uwezo wa kukaa hata nafasi 3- Minimum. Wewe fikiria mpira wa sasa, Namba 4 na 5 eti nao wanalindwa.
 
Screenshot_20231113-233611.jpg
 
Huyo ni kiungo mkabaji, wakati mwingine hutumika Kama beki
...
 
hiyo nafasi anayocheza jamaa hata mimi huwa nacheza nikiwa mpirani mazoezini ,kasoro yangu mimi ni moja tu sipo vizuri kwenye defending.
 
Labda anacheza free role?

Muangalie modric croatia

Messi barca

Jude bellingham madrid

Max mpia yanga
😄😄😄

sema honestly

max mpia anacheza hivo anaufata mpira uliko haijulikani anacheza namba gani yule jamaa kuna muda utamuona kwenye build up akiufata mpira kuna muda anakimbilia kwenye box asubiri pasi afunge😃😃
🤣🤣🤣max
 
Back
Top Bottom