Huyu ni kama Yao wa Yanga.Halafu kuna yule mwamba mwingine anaitwa Chriss Mudalu, huyu jamaa ni beki ila jana alikuwa kama vile ni winga. Mudalu alikuwa akipanda hauoni gap aliloacha kwa sababu kuna viungo wanamkabia.
Halafu katika soka la mchangani miaka hiyo tulikuwa tunaambiwa na makocha, wewe beki ukipanda, winga lazima urudi umkabie mwenzako.
Sasa pale Simba huwa naona kuna mechi Kapombe na Shabalala wakipanda ma-gap yao yanategemewa kuzibwa na Inonga na Malogne kitu ambacho ni hatari endapo itatokea kaunta ataki ya maana kama kilichotokea siku ile.
Kwa kweli sasa hivi Football imebadilika, ule uchezaji wa 4-4-2 kukalili nafasi, sasa hivi umekwisha. Mchezaji sasa hivi inabidi awe na uwezo wa kukaa hata nafasi 3- Minimum. Wewe fikiria mpira wa sasa, Namba 4 na 5 eti nao wanalindwa.Halafu kuna yule mwamba mwingine anaitwa Chriss Mudalu, huyu jamaa ni beki ila jana alikuwa kama vile ni winga. Mudalu alikuwa akipanda hauoni gap aliloacha kwa sababu kuna viungo wanamkabia.
Halafu katika soka la mchangani miaka hiyo tulikuwa tunaambiwa na makocha, wewe beki ukipanda, winga lazima urudi umkabie mwenzako.
Sasa pale Simba huwa naona kuna mechi Kapombe na Shabalala wakipanda ma-gap yao yanategemewa kuzibwa na Inonga na Malogne kitu ambacho ni hatari endapo itatokea kaunta ataki ya maana kama kilichotokea siku ile.
SIWEZI KUACHA MAZOEZI YA MPIRA,ni sawa umuambie makonda aache SIASAAcha mpira
Hii chaiHuyu ni mwamba haswa, alikataa kupewa Namba kwakua yeye hachezi namba anacheza mpira , popote utapouona mpira yeye yupo, Kuna kipindi aliomba awe kipa kabisaa.
Chama simbaLabda anacheza free role?
Muangalie modric croatia
Messi barca
Jude bellingham madrid
Max mpia yanga
[emoji1][emoji1][emoji1]
🤣🤣🤣maxLabda anacheza free role?
Muangalie modric croatia
Messi barca
Jude bellingham madrid
Max mpia yanga
😄😄😄
sema honestly
max mpia anacheza hivo anaufata mpira uliko haijulikani anacheza namba gani yule jamaa kuna muda utamuona kwenye build up akiufata mpira kuna muda anakimbilia kwenye box asubiri pasi afunge😃😃
Huyu ni mwamba haswa, alikataa kupewa Namba kwakua yeye hachezi namba anacheza mpira , popote utapouona mpira yeye yupo, Kuna kipindi aliomba awe kipa kabisaa.