Huyu baba nampenda lakini hanielewi

Usione soo SEMA NAEE
 
Kuna aina nyingi za kufikisha ujumbe... wenye sifa hizo wamekusikia na watakufikia...
 
Sounds kinda like someone is talking about me😀.

I'm licking my chops!
 
Sasa wanajukwaa tufanye nini???.
 
Kama hakuelewi ulishajaribu kumpeleka tuishieni mchikichini labda???
 
Mwambia akutafune maana hakuna namna
 
Asilia nyingi sana ya wanaume hushindwa kuwakataa wanawake wakiwatongoza moja kwa moja.
Ukijiamini, kwa muda mwafaka, ktk mazingira sahihi na lugha inayoeleweka unammaliza kirahisi tu.
Mind you; uyafanikiwa ktk hili ikiwa tu huyo mbaba anaangukia ktk asilimia nyingi ya wanaume wanaoshawoshiwa na wanawake kirahisi(wenye huruma)
 
Niko naye tayari na mtt juu abt 3 yrnow karibu kaanze shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…