Shauri yakoDomo zege wa kike huyu hapa jamani
Sio wewe bana yeye ninaye hukuNimekusikia mpenzi wangu
mbona unanitisha?Shauri yako
Kupenda sio kazi ,kaz kupendwa!Sijui nimfanyie nini jamani. Handsome la nguvu side burns zinavutia maana ni safi saa zote. Akivaa nguo zinamfit vzr sana. Tukitoka kila mtu jicho. Sipendi akasirike jmn nitaumia sana. Lakini kuna jambo moja lanifurahisha nikiwaona hao wadada wanavyomtumbulia macho roho yangu mwaaaaaaa natamani waendelee tu kumla kwa macho jmn na si vinginevyo noooooo jmn msimguse pse. Nampenda mimi. Akinishika mkono mwili mzima unakuwa kama jelly kwishney. Dada M na L pse dont look at him like that with ur rolled eyes
Sio wewe tu mkuu...jukwaa zima tunamshangaa....Namshangaa
Asante mama kwa kuonyesha hisia zako juu ya mtu umpendae mapenzi yenu yatadumu lakini nakushauri usionyeshe upendo wako wa wazi sana mbele za watu hususani mbele za wanamama utawapa nafasi yakumvizia nakutaka kumuonja utamu gani alionao mtu wako..sawa?Oky okay endelea kumpenda ipo siku mtapendana tu usijali...!
Mkuu siyo mimi!Asante mama kwa kuonyesha hisia zako juu ya mtu umpendae mapenzi yenu yatadumu lakini nakushauri usionyeshe upendo wako wa wazi sana mbele za watu hususani mbele za wanamama utawapa nafasi yakumvizia nakutaka kumuonja utamu gani alionao mtu wako..sawa?
a lakini ataupata ujumbe kupitia kwako mkuu!Mkuu siyo mimi!
Umequote mchangiaji tu mleta maada ndo kamdondokea huyo baunsa!
Sijui nimfanyie nini jamani. Handsome la nguvu side burns zinavutia maana ni safi saa zote. Akivaa nguo zinamfit vzr sana. Tukitoka kila mtu jicho. Sipendi akasirike jmn nitaumia sana. Lakini kuna jambo moja lanifurahisha nikiwaona hao wadada wanavyomtumbulia macho roho yangu mwaaaaaaa natamani waendelee tu kumla kwa macho jmn na si vinginevyo noooooo jmn msimguse pse. Nampenda mimi. Akinishika mkono mwili mzima unakuwa kama jelly kwishney. Dada M na L pse dont look at him like that with ur rolled eyes
Kumbe na nyinyi huwa mnatamani km sis wanaume? Sasa mbona tukiwatokea mnaringarngaDah mara ya mwisho kutamani ilikuwa 2012 yaan mungu ndie ajuae. Tangu hapo ninatamani ingawa sio kivile. Mweeeeeee juzi kati nikwenda kufata barua fulani sekou tour (sp) pale hospital mweee kwenye chumba cha dr jamani nilikutana na mkaka dr yaaan dah kweli moyo una siri kubwa yaan moyo ulifanya paaaaaaaa. Baada ya kupata iyo barua nilirudi kumshukuru, alifurahi sana akanambia mm niwakwanza kurudi kutoa shukrani. Yaan yule dr sijui nisemeje. Anyway athante mungu kwa uumbaji loh
Ungeomba namba yake mkuu, ungeshampata kiulainiiii…Mimi kwa upande wangu ninaona ni vema tuwe na umoja wa vijana, wazee nk wa taifa bila kujali chama anachotoka mtu. Kama mtu anataka kuwa mwanachama wa chama fulani ruksa lakini kuwepo na makundi mengi ni hatari kwa umoja wa taifa letu hapo baadaye. Hatutaki ya Janjaweed kutokea etc. Wakati wa Kampeni za uchaguzi wa mwaka jana tulisikia watu kama akina Lipumba wakilalamika kuwa CCM ilikuwa na makundi ya vijana waliokuwa wakifanya fujo Zanzibar nk je ni kweli?. Lakini pia CUF na Chadema nao walikuwa na vijana ambao walikuwa wanafanya fujo. Mnasemaje juu ya kuwa na jumuiya za kitaifa badala ya hizi za vyama ambazo zinaweza kutugawa sana?
Naona una muwaza LowasaHii yote kazi ya Lowasa