Huyu baba nampenda lakini hanielewi

Huyu baba nampenda lakini hanielewi

ORBIT

Member
Joined
Dec 10, 2015
Posts
29
Reaction score
16
Sijui nimfanyie nini jamani. Handsome la nguvu side burns zinavutia maana ni safi saa zote. Akivaa nguo zinamfit vzr sana. Tukitoka kila mtu jicho. Sipendi akasirike jmn nitaumia sana. Lakini kuna jambo moja lanifurahisha nikiwaona hao wadada wanavyomtumbulia macho roho yangu mwaaaaaaa natamani waendelee tu kumla kwa macho jmn na si vinginevyo noooooo jmn msimguse pse. Nampenda mimi. Akinishika mkono mwili mzima unakuwa kama jelly kwishney. Dada M na L pse dont look at him like that with ur rolled eyes
 
Sijui nimfanyie nini jamani. Handsome la nguvu side burns zinavutia maana ni safi saa zote. Akivaa nguo zinamfit vzr sana. Tukitoka kila mtu jicho. Sipendi akasirike jmn nitaumia sana. Lakini kuna jambo moja lanifurahisha nikiwaona hao wadada wanavyomtumbulia macho roho yangu mwaaaaaaa natamani waendelee tu kumla kwa macho jmn na si vinginevyo noooooo jmn msimguse pse. Nampenda mimi. Akinishika mkono mwili mzima unakuwa kama jelly kwishney. Dada M na L pse dont look at him like that with ur rolled eyes


Na akikupiga chini, kilio na mrejesho ni muhimu mana inaonekana umeiñgia mwili wote kwa huyo mbaba.
 
Sijui nimfanyie nini jamani. Handsome la nguvu side burns zinavutia maana ni safi saa zote. Akivaa nguo zinamfit vzr sana. Tukitoka kila mtu jicho. Sipendi akasirike jmn nitaumia sana. Lakini kuna jambo moja lanifurahisha nikiwaona hao wadada wanavyomtumbulia macho roho yangu mwaaaaaaa natamani waendelee tu kumla kwa macho jmn na si vinginevyo noooooo jmn msimguse pse. Nampenda mimi. Akinishika mkono mwili mzima unakuwa kama jelly kwishney. Dada M na L pse dont look at him like that with ur rolled eyes
Kwahiyo anakuelewa?
 
Kama haujui ilichofanya wewe ni lijinga la mwisho.
Unajaribu kubadili nyeusi kuwa nyeupe??
Nyumbu Mkubwa wewe
Duh!!! @mwasita Moja mbona povu hivyo mkuu?jifunze lugha ya mjadala usiwe mwepesi wa kupanic utatoka kwenye line,umeulizwa Richmond imefanyaje toa jibu acha matusi toa point ikieleweka alouliza atatulia hatouliza tena mbona simple.
 
Kwa hizo sifa

Hata akitaka 0713 lazima umpe
 
Back
Top Bottom