That's niceNdege wanapendeza sana, napenda sana ndege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's niceNdege wanapendeza sana, napenda sana ndege
Si umemjua lakiniMi nahisi ni T......... au basi
Anafanana na secretarybirdHuyu bata pichani hapa chini anajifanya yeye ndo yeye kama baadhi mishangazi ijifanyavyo humu JF.
Unadhani huyu bata anasadifu tabia ya mshangazi gani humu. Binafsi naona huyu bata kakopi na kupesti tabia za BRAZA CHOGO na BICHWA KOMWE - .
Bado.Si umemjua lakini
Hahahahaha..Anafanana na secretarybird
Kwakweli itakuwa anawala kimasihara 😝😂Hivi yule jamaa anayejiita Mla Bata anakulaje bata ni kwamba anatembea nao au anawafanya msosi.
Monetary doctor tusaidie.
Hii ni noma kaka. Unaweza tapika hadi maini.Kwakweli itakuwa anawala kimasihara 😝😂
Afu mkuu Kuna vitu watu wakizoea ni normal mfano ukichek michezo ya utu uzima watu wanavuka mpaka boda kulamba nn ....... AseehHii ni noma kaka. Unaweza tapika hadi maini.
Ndo maana Kuna mtu mmoja humu ndani hupenda kusema "ubinadamu ni kazi, humanity is job"Afu mkuu Kuna vitu watu wakizoea ni normal mfano ukichek michezo ya utu uzima watu wanavuka mpaka boda kulamba nn ....... Aseeh
Kuna mmoja huyo🤣🤣🤣Huyu bata pichani hapa chini anajifanya yeye ndo yeye kama baadhi mishangazi ijifanyavyo humu JF.
Unadhani huyu bata anasadifu tabia ya mshangazi gani humu. Binafsi naona huyu bata kakopi na kupesti tabia za BRAZA CHOGO na BICHWA KOMWE - .
Eeeh bana kaka binadamu tunaonekana wa heshima tukiwa hivi.... Ila mambo yetu ni hatareNdo maana Kuna mtu mmoja humu ndani hupenda kusema "ubinadamu ni kazi, humanity is job"
Sio mimi🤣🤣🤣🤣umejileta😁
Silipingi hilo hata kidogo, kila mtu ana lake nyuma ya pazia.Eeeh bana kaka binadamu tunaonekana wa heshima tukiwa hivi.... Ila mambo yetu ni hatare
Eeeh braza acha kabisaSilipingi hilo hata kidogo, kila mtu ana lake nyuma ya pazia.
Watoto wangekuwa wanaona yanayofanywa na wazazi wao dunia ingeharibika vibaya mno.Eeeh braza acha kabisa