Boran Jakutay
Senior Member
- Apr 8, 2023
- 110
- 259
Tazama hii video uone namna baunsa wa Diamond alichomfanyia polisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hueleweki!
kama hujaelewa haikuhusuMbona hueleweki!
Huu ni uzushi!kama hujaelewa haikuhusu
Kweli mkuuUkisha kula makande ya elfu moja.. Akili inajizima data kabisa.
Some guys are untouchable and above the law.
Ndio hao hao wameenda kutoa mikono 😂 sasa ngoja waje humu kupiga kelele tenaHao watoto ndio waliokuwa wnatupigia kelele humu wakimponda Nature kwa kugomea show ya laki 5
hilo ndio tatizo la kukaa kwa shemeji, kila kitu unaona uzushi hujishughulishiHuu ni uzushi!
Kwani huko shureni warisomea ujinga.Ukisha kula makande ya elfu moja.. Akili inajizima data kabisa.
Hakuna kitu kibaya kimefanyika hapo kila mmoja yupo kwenye majukumu yake ya kazi kwa hio bila bila in short ni 0-0Kweli mkuu
Wakienda makwao wanalala hoiHao watoto ndio waliokuwa wnatupigia kelele humu wakimponda Nature kwa kugomea show ya laki 5
Macho Hana huyu!Hakuna kitu kibaya kimefanyika hapo kila mmoja yupo kwenye majukumu yake ya kazi kwa hio bila bila in short ni 0-0
Askari mwenye vazi la Serekali ni mlinzi
Bodyguard private kutoka kampuni ya Ulinzi pia ni mlinzi
Kwa hio wamekutana walinzi wanahimizana wanagusana wanachangamshana, unaonekana hata gwalide hujui lipoje au mchaka mchaka upoje hujui
We Kimbweku Mbweku
Kaja Ghetto leooooooooooo
We Kimbweku Mbweku
Bora umesema weweMbona hueleweki!
hilo ndio tatizo la kukaa kwa shemeji, kila kitu unaona uzushi hujishughulishi
Na siji kukaa kwa shemeji kwanza dada Sina!Sijawahi kaa kwa shemeji maishani,acha ujinga.
Some guys are untouchable and above the law.