Scaramanga
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 490
- 704
Kama askari mwenyewe hajaona kosa ni sawa hakuna shida ila kwa ufahamu wangu haipo sawa ingekuwa ni askari mwenzie wa cheo cha juu anamuhimiza hapo sawa. Unless kama ni askari mwenzie wa cheo cha juu.