Scaramanga
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 490
- 704
Kama askari mwenyewe hajaona kosa ni sawa hakuna shida ila kwa ufahamu wangu haipo sawa ingekuwa ni askari mwenzie wa cheo cha juu anamuhimiza hapo sawa. Unless kama ni askari mwenzie wa cheo cha juu.
weweee usipotoshe uma.kwamba walinzi wawili wamekutana😅😅.Hakuna kitu kibaya kimefanyika hapo kila mmoja yupo kwenye majukumu yake ya kazi kwa hio bila bila in short ni 0-0
Askari mwenye vazi la Serekali ni mlinzi
Bodyguard private kutoka kampuni ya Ulinzi pia ni mlinzi
Kwa hio wamekutana walinzi wanahimizana wanagusana wanachangamshana, unaonekana hata gwalide hujui lipoje au mchaka mchaka upoje hujui
We Kimbweku Mbweku
Kaja Ghetto leooooooooooo
We Kimbweku Mbweku
siku hizi mwenye mwili mkubwa ndiye msemaji wa mwisho.Kwani polisi ni Nini kama anammudu siwapigane
Uzuri wote ni ccm
Mkorinto umemaliza kila kitu safi kabisa point takenweweee usipotoshe uma.kwamba walinzi wawili wamekutana😅😅.
hao wajinga ndio maana hafla za serikali huwa wanafukuzwa wamsubiri boss wao getini nje huko sababu hawakawii kuharibu itifaki kwa kujifanya wako kazini.
popote walipo polisi,wanajeshi,watu wa usalama kwa ajili ya ulinzi huyu bonge inabidi atulie pembeni kama mtazamaji tayari shughuli sio yake,netime atachukuliwa kama mhalifu atasbuliwa sana.