Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Hhmmmm umeanzaaa
Nikianza mimi ukamalizia wewe si inakuwa patapotea?? Maana inaweza tokea balaa nikianza mimi.... kuna hatari wewe ukashindwa kumaliza...

Anza wewe basi ili mi nimalize ili tumalizane kwa amani... ushanisoma?
 
Nikianza mimi ukamalizia wewe si inakuwa patapotea?? Maana inaweza tokea balaa nikianza mimi.... kuna hatari wewe ukashindwa kumaliza...

Anza wewe basi ili mi nimalize ili tumalizane kwa amani... ushanisoma?
Mhh sjakusoma bado,nifafanulie uzry babu mana mie mjukuu wako voo
 
Zote hizi ni dalili za uchoyo. Hujawahi kujua babu na mjukuu ni wachumba?? Timiza wajibu wako basi...
Hhmm ww kila mtu mchumba ako jamani,nkianza kukuhesabia apa wa jf hata siwamaliizii,bas tu ngoja ninyamaze,babu wewee mwishooo
 
Hhmm ww kila mtu mchumba ako jamani,nkianza kukuhesabia apa wa jf hata siwamaliizii,bas tu ngoja ninyamaze,babu wewee mwishooo
Hao wengine maneno tu, moyo umenichagulia maalkia wa kiarabu... siwezi kwenda kinyume na matakwa ya moyo wangu...

Usiogope ukubwa wa samaki, ulizia bei mamii...
 
Hao wengine maneno tu, moyo umenichagulia maalkia wa kiarabu... siwezi kwenda kinyume na matakwa ya moyo wangu...

Usiogope ukubwa wa samaki, ulizia bei mamii...
Hhhhmmmm babuu,mimi sio mwarabu kwanza[emoji54] alafu mimi nshasikiaga habar zako wala staki
 
Hhhhmmmm babuu,mimi sio mwarabu kwanza[emoji54] alafu mimi nshasikiaga habar zako wala staki
Hata kama si mwarabu mi najua wewe ni Arabian queen ... hilo kwangu linatosha.

Hayo mambo ya kusikia kwa watu ndo nlishakuambia... binadamu hawakutakii mema. Kwanini uyasikie kwa watu wakati mwenyewe una masikio? Fanya maarifa uyasikie mwenyewe bhana...
 
1. Huyo bibi anaepewa hataki kuridhika na alichorudishiwa
2. Maneno yenu na babu wa jf... maneno laini kama nyoka[emoji216]
Hahaha bibi anataka arudishe na mtama juu.
Uyo babu mzoeee tu uzee wake unamjia vibaya,mpk sasa sjui anawangap na kakusudia sjui kunieka wangap[emoji1] [emoji1]
 
Hahaha bibi anataka arudishe na mtama juu.
Uyo babu mzoeee tu uzee wake unamjia vibaya,mpk sasa sjui anawangap na kakusudia sjui kunieka wangap[emoji1] [emoji1]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Haya mkuu, kumbuka ndege mjanja hunaswa na............ Ngoja babu aje.
 
Back
Top Bottom