Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hayo yote akienda ugenini hakuna atakaye yafanya hivyo ataishia kudharirika tu.1. Mpeleke hosp kitendo cha Afya ya Njia ya mkojo watamtibu vzr na atakua ok.
2. Mjengee saikolojia ya kujiamini. Angalia michezo anayocheza kila siku, anatumia vinywaji/vyakula gani hasa na rafiki zake, muhoji huota nini.
3. Hakikisha analala mapema akiwa amekojoa, then usiku aamshwe akakojoe.
4. Asinywe maji wala kimiminika kingine usiku. Mpen dry food (japo yaezapelekea constipation japo inasaidia).
5. Msimchape na mnapomkaripia mtumie lugha isiyoudhi.
She gonna be ok, ni stage tu!
Suluhisho la kudumu aende maduka ya dawa za asili wakampe dawa.