Huyu binti ananichanganya

Huyu binti ananichanganya

Soma kwanza kijana! au unampango wa kumuoa leo?
 
"Mwanamke ni kama vocha hauijui hadi uikwangue".
By
Roma .
 
Anza kwenda kanisan kwao, akikuona atafrahi na utampata kirahis.

Ukikamilisha mpango wako inaacha na unaendelea na harakati zako
 
na wewe kua mshambamshamba mlokole muende sawa,anakuona wamataifa
 
Ndiyo kwanza wa first year... akizoea chuo atabadlika tu...
 
sikia dogo mda wa kuoa umefika..maana huwa mnaingia kwa gia nzuri afu mkishapata mnachotaka mnatoka nduki....mwache binti asome bhana
 
Back
Top Bottom