Huyu binti happy77 ndo nani kwa Samatta?

RUKUKU BOY

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
1,516
Reaction score
1,775
Wakuu huko instagram kuna binti anajiita happy77, kumbuka namba77 inavaliwa na mshambuliaji kutoka Tanzania anayeichezea Genk ya ubeligiji (samatta)

lakini nimeshangaa katika post nyingi za huyo dada kila post anampost samatta,huku akimpa majina kibao mara dady, young dady,,,n,k, hata snapchat anatumia happy samatta,

sina nia mbaya na huyo binti wa watu ila anayejua detail zake azidondoshe na ana mishe gani huyo sister hapa bongo
 
I'm Blk... It's not surprising to me. I'm not mad at the guy
 
picha moja tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…