Huyu binti JF kauteka moyo wangu nipeni maujanja ya kumtongoza


kweli baby nakwambia,nakupenda sana tu.Tatizo wee ulikuwa unantania
 
mbona yupo simple sana tu!? niulize mimi.
 
huyo mimi nimemuweka kiganjani. hata leo nitume nikuunganishie. pm moja tu mambo yanatiki. upo serious au na wewe ni wale wa kuharibu dada zetu?sema bana. Mia

Mi nina nia ya kukusaisia kumpata huyo mrembo wako F...
Ila nipe profile yake ya JF.. ID acha..
 
Huyo demu hadi nyani ngabu kapita Mkuu pamoja na Asprin kiufupi sio mchoyo
 
Tumia pythegorus theory au Quadratic equation kwa mda wa wiki moja tuu.

Utakuja kutoa ushuhuda hapa naamini!
 
Nenda kwao[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

nafight with my weather[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…