kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
Una umri gani?
Dogo anaona kabisa mbuzi kafia kwa muuza supu lakini bado anashindwa kazi.Mtoa mada umri wake utakuwa sio zaidi ya miaka 20, Ana undezi mwingi Sana yaani
115Una umri gani?
SawaMsimwamini huyu jamaa ni kama akina mpwayungu village , mbao za mawe, viatu vya samaki, raphael mreno n.k
Tuliokaa JF mda tunawajua.
Huu umri ni ngapi?
Una miaka mingap?!Wakuu kuna kademu kanapenda sana kuwasiliana na Mimi japo kana mtu wake ila kanapenda sana kunipigia pigia na Mara kanipige pige mabusu kwenye simu sasa ni rafiki tu ananiambia yeye hawezi kuwa na Mimi kimahusiano zaidi ya urafiki na anaenjoy urafiki wetu sasa wakuu naona kama jau nitumie njia zipi kumkataa?
Hau nitumie mbinu ipi kula mzigo
Umemaanisha kumchakata au kumkataa?nitumie njia zipi kumkataa?