Huyu binti simuelewi

kenny mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2021
Posts
316
Reaction score
848
Wakuu, kuna kademu kanapenda sana kuwasiliana na mimi japo kana mtu wake, ila kanapenda sana kunipigia pigia. Mara kanipige pige mabusu kwenye simu, sasa ni rafiki tu ananiambia yeye hawezi kuwa na mimi kimahusiano zaidi ya urafiki na anaenjoy urafiki wetu. Sasa wakuu naona kama jau, nitumie njia zipi kumkataa? Au nitumie mbinu ipi kula mzigo?
 
Una miaka mingap?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…