Huyu Binti wa Kipemba anahitaji nini kutoka kwangu??

Unataka kuniambia kumpenda Mpemba ni kukisogelea kifo kivipi yani mkuu?? Ebu nielekeze vizuri
 
Ukimchezea ukamuacha utapigwa jini mahaba...
 
Ulokole unakuponza sana hao mademu wanahitaji treatment ya ki-gangstar sana mimi ni mpemba nifate nikupe tips jinsi ya kumla huyo chick.
Nielekeze sasa ila sitaki kumfanyia Umafia wa aina yoyote ile.......Huko nyuma nilishafanya mengi kama kuwalazimisha kufanya nao kwa nguvu ila toka niokoke naona kabsa ule ulikuwa ni ushetani wa hali ya juu na kamwe sitoruhusu utokee tena
 
Unasomea chuo Cha afya unapata wapi muda wa ku deal na mapenz kijana?
 
Chuo unasoma kitu gn unaonekana MJINGA sana
 
Madem siku hizi wanaishi kwa akili sana na wewe umewekwa kama backup tu. Mambo yakiharibika upande ule anakuja kwako kupata faraja kwa kifupi mademu wengi sasa hivi wamekuwa wa hovyo sana na hawaeleweki kipi wanachokitaka lakini siku zote mwisho wao huwa ni kuchakazwa na kupoteza thamani zao.
 
Fanya kitu kimoja nipe namba yake nimshauri kitu then utaona penzi lenu litakavokuwa wew mwenyew utafurahi
 
kosa la kwanza mlokole kosa la pili mbara kosa la tatu mweusi,ushauri wangu achana na uyo mpemba unapoteza time yako tu.wapemba kama warabu tu wa middle east Ni Ngumu sana kuwaozesha mabinti zao kwa Watu wasio wa asili yao .ukiendelea kulazimisha utakuja kukutana na ubaguzi urudi hapa tena kupiga kelele tafta walokole wezako mbona hapo muhimbili wamejaa wakutosha
 
Sawa Mkuu wewe ushauri wako ni bora sana kuliko wengine wote.......Mungu awe nawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…