Huyu Binti wa Kipemba anahitaji nini kutoka kwangu??

Acha utoto we focus na masomo
 
Duuh umenifanya nimpige chini mazima
 
hebu tuoneshe ka screenshot kidogo vile unachat nae
Ni hii hapa,ali-screenshot mwenyewe kwenye simu yake,akanitumia whatsapp kwamba ni kwa nämna gani nilivyo mkaidi sijibu texts zake👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20231226-071335_Drive.jpg
    128.2 KB · Views: 11
Ni hii hapa,ali-screenshot mwenyewe kwenye simu yake,akanitumia whatsapp kwamba ni kwa nämna gani nilivyo mkaidi sijibu texts zake👇👇
Next time usirudie hiki kitendo mwanamke hatumiwi message nyingi kama ulichofanya, message ni moja asipojibu usitume nyingine mpaka akujibu
 
Chimba kaburi moyoni mwako sometimes zika watu wakiwa hai...

Sometimes jifunze ku LET IT GO itakusaidia maishani
 
Next time usirudie hiki kitendo mwanamke hatumiwi message nyingi kama ulichofanya, message ni moja asipojibu usitume nyingine mpaka akujibu
Kaka hujanielewa mimi siwezi kufanya huo upuuzi wa kumtext mtu namna hiyo

Hiyo alinitumia whatsapp yeye mwenyewe akinilaumu ni kwa jinsi gani sijibu texts zake,narudia tana SIO MIMI NI ZA MPEMBA
 
Achana nae haraka. Kama shida ni upwiru, piga puli.

Hao watu wa visiwani wanaoana wenyewe kwa wenyewe na lazima wawe dini moja. Na hawachelewi kukurushia JINI.
 
 
Kaka hujanielewa mimi siwezi kufanya huo upuuzi wa kumtext mtu namna hiyo

Hiyo alinitumia whatsapp yeye mwenyewe akinilaumu ni kwa jinsi gani sijibu texts zake,narudia tana SIO MIMI NI ZA MPEMBA
Hapo sawa nakushauri achana nae mnapotezeana tu muda but usimwache kwa hiyo style ya kukaa kimya utamuumiza kiakili si vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…