Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Msikieni na huyu.Technically bila upendeleo wowote yanga bado hawana timu, jana walikua wanacheza na timu mbovu ni sawa na vijana wa panya rodi waliokusanywa wakaambiwa wakacheze mpira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msikieni na huyu.Technically bila upendeleo wowote yanga bado hawana timu, jana walikua wanacheza na timu mbovu ni sawa na vijana wa panya rodi waliokusanywa wakaambiwa wakacheze mpira
Lucha umetoroka Mirembe, wenzio wakiitwa jina wanasema 'jana' na 'leo' we umeingia mitini, rudi kwanza ukachukue dozi yako kisha uje tena JF.Technically bila upendeleo wowote yanga bado hawana timu, jana walikua wanacheza na timu mbovu ni sawa na vijana wa panya rodi waliokusanywa wakaambiwa wakacheze mpira
UBERjana kidogo tu, naona watu wanatupia tu mpira , BOKA huyu hapa. defence yupo, forward yupo.
boka ana nguvu ana speed, hawa watu yanga wanawatoa wapi??
yanga mna uwakika huyu ni mchezaji sio boda boda ?? 😂
View attachment 3102809
😀😀😀😀Lucha umetoroka Mirembe, rudi kwanza ukachukue dozi yako kisha uje tena JF.
Na Bado hamjasema!!jana kidogo tu, naona watu wanatupia tu mpira , BOKA huyu hapa. defence yupo, forward yupo.
boka ana nguvu ana speed, hawa watu yanga wanawatoa wapi??
yanga mna uwakika huyu ni mchezaji sio boda boda ?? 😂
View attachment 3102809
Mkuu unataka kuniambia boko,mwamnyeto na mzize wanakimbia sana?Wakongo wanakimbia sana.mayele Naye alikuwa na mbio sana.Itakuwa urefu unawasaidia akipiga hatua Moja Yuko mbali.Hivohivo na kisinda
Na baluawapo wakina kijiri
Nikikuambiaga wewe mpira haujui unamehemko una kataa.Ulimkataa Boka kwenye uzi wako huu.jana kidogo tu, naona watu wanatupia tu mpira , BOKA huyu hapa. defence yupo, forward yupo.
boka ana nguvu ana speed, hawa watu yanga wanawatoa wapi??
yanga mna uwakika huyu ni mchezaji sio boda boda ?? 😂
View attachment 3102809
Lete timu yako icheze na Yanga huu ni msimu wa 3 mfululizo kimataifa Yanga anaimbiwa nyimbo ya kukutana na timu mhovu. Wewe mwenye timu nzuri Yanga amekugunga mara 3 mfululizo na usipokaza usishangae ukapasuka mara ya 4 mwezi October.Technically bila upendeleo wowote yanga bado hawana timu, jana walikua wanacheza na timu mbovu ni sawa na vijana wa panya rodi waliokusanywa wakaambiwa wakacheze mpira
Balua na Kijiri wanakimbia na mpira spidi kali hadi wanamaliza uwanja na kuangukia mabango, inakuwa goal kick!Na balua
Kwa nini unamtisha?See you in october.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
😂Ana kros mbaya ukijichanganya ni unajifunga au unafungwa au mnagongana beki na Kipa doctor anakuja unatolewa nje!
Huyu ni maji kupwa maji kujaa humu jukwaani mbona wapo wengi kama yeye..Nikikuambiaga wewe mpira haujui unamehemko una kataa.Ulimkataa Boka kwenye uzi wako huu.
Yanga bad signing this season ni Dube, Boka, Chama and Baleke
All other signing are the best signing so far, the best players in the pitch except; DUBE This guy bado anawenge la kuwa Yanga, in today's match he was the worst player in the pitch. He lost his aggressiveness that he used to have in Azam. I hope he improves. DUBE can't press sio Yanga...www.jamiiforums.com
Huku ukiambatanisha na hii paragraph.
BOKA
He was so relaxed on the wing, very good in defence poor in attack . I think Kibabage will keep the number, he was injured just minutes in the pitch. Huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance. Mr back passes so far.
Tatizo lako unakihelehele,halafu unajifanya Yanga kumbe ni Kolo FC.
View attachment 3103115
Hawazalishwi kama matofali, bali inategemea utayari wa mchezaji.Na sisi bongo tuzalishe watu kazi kama huyo...
Anaota mchana kweupeMsikieni na huyu.
Wewe ndiye unasema hayoMakolo watakwambia anatumia dawa za kuongeza nguvu achunguzwe.
hivi jina madunduka limetokea wapi..?😂Madunduka watakujibu kuwa, huyu ndiyo karithi majini ya Mayele, hawakawii kuzusha. Ndugu zangu wacongo kwenye ball wako 🔥🔥🔥
Zanzibar kipindi kile paka/simba wamefungwa. Basi wazanzibari wakasema hawa madunduka tu. Mimi likanikaa haswa 😅😅😅😅😅hivi jina madunduka limetokea wapi..?😂
🤣Zanzibar kipindi kile paka/simba wamefungwa. Basi wazanzibari wakasema hawa madunduka tu. Mimi likanikaa haswa 😅😅😅😅😅