Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo sio jina la kijaluo.Hayo yote ni majina ya kijaluo mkuu usishituke
Nini sasa?Hilo sio jina la kijaluo.
Hili sio Jina la kijaluoNini sasa?
Kumbukeni kuwa majina yanayofanana na jina Warioba yapo Kenya kama vile; Wanjiru, Wamarwa, Waiyaki n.kHili sio Jina la kijaluo
Hayo majina huwa ni Ya Wazanaki, Wakurya na Waikizu, nadhani jaji Warioba ni Muikizuy
Sio kweliHayo yote ni majina ya kijaluo mkuu usishituke
Sio kweli.Jaji warioba ni mjaluo mkuu?
Wajaluo na warioba wap na wap ndugu!!?Hayo yote ni majina ya kijaluo mkuu usishituke
Ukiwa mkoani Mara utajua kuwa wakurya walioko mkoani Mara kama vile Tarime, Bunda na Serengeti na walio Esebania wote ni wakurya. Ni sawa na wamasai walio Tanzania na wamasai walio Kenya wote ni wamasai.Raisi Kenyatta wa Kenya amemteua mtu anaeitwa Bridgedia General John Kibaso Warioba kuwa mkuu wa jeshi la Magereza la kenya.
Je, kuna uhusiano wowote kati ya huyo Bridgedia Warioba na jaji warioba wa Tanzania?
View attachment 2014217
KATIBA MPYAA ni beyond ZE boundariesRaisi Kenyatta wa Kenya amemteua mtu anaeitwa Bridgedia General John Kibaso Warioba kuwa mkuu wa jeshi la Magereza la kenya.
Je, kuna uhusiano wowote kati ya huyo Bridgedia Warioba na jaji warioba wa Tanzania?
View attachment 2014217
Hawana uhusiano wowote kwa sababu huyu brigadier General John Warioba ni wa kabila la mkuria wa nchini Kenya na Josef Warioba ni wa kabila la kiikizu linalopatikana Mara Tanzania.Raisi Kenyatta wa Kenya amemteua mtu anaeitwa Bridgedia General John Kibaso Warioba kuwa mkuu wa jeshi la Magereza la kenya.
Je, kuna uhusiano wowote kati ya huyo Bridgedia Warioba na jaji warioba wa Tanzania?
View attachment 2014217