fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Hana uhusiano,huyo ni mkurya wa kenyaRaisi Kenyatta wa Kenya amemteua mtu anaeitwa Bridgedia General John Kibaso Warioba kuwa mkuu wa jeshi la Magereza la kenya.
Je, kuna uhusiano wowote kati ya huyo Bridgedia Warioba na jaji warioba wa Tanzania?
View attachment 2014217
Hapa ndipo mna nichanganya na shule yangu ya uongozi kutoka kwa kiroboto...Hii mipaka walituwekea wakoloni na kututenganisha na ndugu zetu. Lakini tuna ndugu zetu wengi wapo nchi tunazopakana nazo.
Hilo ni jina la kikurya, Wakurya wanapatikana pia Kenya huko maeneo ya Kuria na Suba districts.Raisi Kenyatta wa Kenya amemteua mtu anaeitwa Bridgedia General John Kibaso Warioba kuwa mkuu wa jeshi la Magereza la kenya.
Je, kuna uhusiano wowote kati ya huyo Bridgedia Warioba na jaji warioba wa Tanzania?
View attachment 2014217
Acha kujaza server Jf kwa mawazo ya kijiweni
Njau ya Tanzania na KenyaMwingiliano wa majina tu kama utakavyomkuta lymo wa kenya na wa Tz!
Na unaweza kuta maana ya jina Warioba Kenya ni tofauti na Warioba Tz...Warioba Kenya yaweza hata kumaanisha ubeberu...si unawajua jamaa wale hawana jambo dogo😀Warioba ni majina ya wabantu na sio wajaluo. Ila unaweza kukuta mjalio analo hilo jina usishangae ni kwa sababu ya muingiliano wa jamii kama kuoana na nk.
Mfano, mama ni mkurya ama mzanani ama muikizu baba mjaluo, mama anaeitwa Prisca Warioba anaweza kuzaa na mjaluo anaeitwa Ondieki Onditi halafu wakapata mtoto wa kiume/ kike kwa sababu jamii ya wakurya wanaweza kuita jina la kiume kwa mtoto wa kike na kinyume chake pia. Huyo mtoto akaitwa Warioba, baba wa mwanamke.
So utakuta damu ya kijaluo ila jina la kikurya ama jamii ya wakurya hao wazanani, waikizu, nk wanaoishi mkoa wa mara na ndugu zao walioko upande wa Kenya.
Ila jina warioba perse ni la hizo jamii maana warioba ni mtu aliezaliwa wakati jua limewaka, rioba ni jua, hivyo warioba-mtu wa jua, mtu aliezaliwa wakati jua limewaka sana.