Huyu Brigedia Warioba aliyeteuliwa na Rais Kenyatta ana uhusiano gani na Jaji Warioba?

Hii mipaka walituwekea wakoloni na kututenganisha na ndugu zetu. Lakini tuna ndugu zetu wengi wapo nchi tunazopakana nazo.
Hapa ndipo mna nichanganya na shule yangu ya uongozi kutoka kwa kiroboto...

 
Raisi Kenyatta wa Kenya amemteua mtu anaeitwa Bridgedia General John Kibaso Warioba kuwa mkuu wa jeshi la Magereza la kenya.

Je, kuna uhusiano wowote kati ya huyo Bridgedia Warioba na jaji warioba wa Tanzania?

View attachment 2014217
Hilo ni jina la kikurya, Wakurya wanapatikana pia Kenya huko maeneo ya Kuria na Suba districts.
 
Na unaweza kuta maana ya jina Warioba Kenya ni tofauti na Warioba Tz...Warioba Kenya yaweza hata kumaanisha ubeberu...si unawajua jamaa wale hawana jambo dogo😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…