mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Hahah aiseee.Huyo anatafuta wanaume tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah aiseee.Huyo anatafuta wanaume tu
Wewe utakuwa mchawiAngalia kwa makini hii video utajua kuna kitu hakiko sawa, wataalamu wa saikolojia mtatusaidia nini kimeanza kumsibu huyu icon wetu.
View attachment 1161022
Mbona uzi wote mnachat nyinyi tu
Angalia kwa makini hii video utajua kuna kitu hakiko sawa, wataalamu wa saikolojia mtatusaidia nini kimeanza kumsibu huyu icon wetu.
View attachment 1161022
Hahahahahahahahah kiongozi hizo picha ulimpiga wewe au mlipigana wote naona umemkomalia kila sehemu au unamtaka huyo manzi kama umemuelewa muombe taaribu tu.Hahah daah picha zinaleta 'handasi' zile,daah
Copy and paste kutoka kwa Mange.Angalia kwa makini hii video utajua kuna kitu hakiko sawa, wataalamu wa saikolojia mtatusaidia nini kimeanza kumsibu huyu icon wetu.
View attachment 1161022
Mama TAngalia kwa makini hii video utajua kuna kitu hakiko sawa, wataalamu wa saikolojia mtatusaidia nini kimeanza kumsibu huyu icon wetu.
View attachment 1161022
Wanakuza tu mambo! Ni uchovu huo! We unafanya mchezo na shows za back to back! Sana sana mimi namhurumia kwa sababu ukiangalia ile ratiba yake, ni hatari sana kiafya!Nimeshangaa moyo umeniuma. Nimejua kuwa nampenda Dogo aisee yani naona kama ni mdg wangu anawehuka
Me ninashindwa kukuelewa we ni me au ke maana unapenda Sana udaku na kuunganisha dots zisizo na uwalisia ukwel unajulijaka kabisa diamond ana show nyingi Sana na zote zipokaribu karibu mfano diamond Hadi Sasa hiv ana show 27 sehemu tofauti tofaut apati hata muda wakupumzika hapa Jana tu katoka kufanya show Uganda na jumapili anashow mwaza lazima uchovu utokee na ukizingatia jamaa anafanya show masaa 4 mpaka ma5.Machozi ya ma x wake anaoshinda kuwa dhalilisha dogo kama ana wenge hivi