Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Anaitwa Jacky, nilimfahamu mwaka 2019, huo mwaka nulimchukua mara moja kwa ajili ya short for first time, sasa tukajenga mazoea kwa vile akiwa chumbani ni mchangamfu sana, aliiona picha yangu kwenye simu, akaniambia hiyo picha ya siku nyingi, nikamuuliza amejuaje akaniambia kwasababu ameona damu, mmh nikaguna kimoyomoyo ila nikaweka alama ya kuuliza kichwani.

Kwa mara ya kwanza nilimchukua mara moja tu, ikapita miezi mingi sikwenda Kona baa, siku nilienda tena pale, nilimwona kwa mbali ananikazia macho na kuniangalia kwa makini, nilivyoendaga kumchukua mara ya pili, aliniambia mambo yote nilikuwa nafanya pale Kona baa kwa usiku ule na yalikuwa kweli nikasema miezi mingi imepita tangu nimchukue ina maana hajanisahau.

Nina mashaka na huyu changu, ingawa ni Mweusi, mzuri ana kiuno nyigu, na chura Mkubwa, FB anatumia jina la Jack Chacha kwa wahudhuriaji wa Kona baa mtakuwa mnamfahamu huyo mdada, kuna uwezekano mkubwa nilifanya ngono na a fallen angel (mmoja wa malaika aliefukuzwa mbinguni na shetani)

Wanaume tuwe makini..
 
Anaitwa Jacky, nlimfaham mwaka 2019,huo mwaka nlimchukua mara moja Kwa ajili ya short for first time, sasa tukajenga mazoea Kwa vile akiwa chumbani ni mchangamfu sana, aliiona picha yangu kwenye simu, akaniambia iyo picha ya siku nyingi, nkamuuliza amejuaje akaniambia kwasababu ameona damu, mmh nkaguna kimoyomoyo ila nkaweka alama ya kuuliza kichwani.

Kwa mara ya kwanza Nlimchukua mara moja tu, ikapita miezi mingi sikwenda kona baa, siku nilienda tena pale, nlimwona kwa mbali ananikazia macho na kuniangalia kwa makini, nlivoendaga kumchukua mara ya pili, aliniambia mambo yote nilikua nafanya pale kona baa kwa usiku ule na yalikua kweli Nikasema miezi mingi imepita tangu nimchukue ina maana hajanisahaugi..

Nina mashaka na huyu changu, ingawa ni Mweusi, mzuri ana kiuno nyigu, na chura Mkubwa, FB anatumia jina la jack chacha kwa wahudhuriaji wa kona baa mtakuwa mnamfahamu huyo mdada, kuna uwezekano mkubwa nilifanya ngono na a fallen angel (mmoja wa malaika aliefukuzwa mbinguni na shetani)

Wanaume tuwe makini..
 
Tangazo zuri sana mbona haujajiwekea namba ya simu sasa?
Ubunifu mzuri sana kwa tangazo hiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Huo ni mtazamo wenu, ila mm binafsi nlivoandika hii thread sikua na nia ya kumtangaza huyo mdada, coz mdada mwenyewe ana smartphone, ivo hanihitaji mm nimtangaze, nia yangu tu ni kusisitiza wanaume tuwe makini, sahiv nshaacha iyo tabia ya kununua dada poa.. ni addiction mbaya na ni risk .

Kwa kifupi mm nilikua ni mteja tu wa kununua makahaba, nikisema nianze elezea machimbo ya shivaz, malindi, Tegeta kibo, etc na malaya zake ntajaza thread KijanaHuru dronedrake
 
wateja unapata tu tena wengi we subiria kidogo uone pm itavyojaa huko
Huo ni mtazamo wenu, ila mm binafsi nlivoandika hii thread sikua na nia ya kumtangaza huyo mdada, coz mdada mwenyewe ana smartphone, ivo hanihitaji mm nimtangaze, nia yangu tu ni kusisitiza wanaume tuwe makini, sahiv nshaacha iyo tabia ya kununua dada poa.. ni addiction mbaya na ni risk .

Kwa kifupi mm nilikua ni mteja tu wa kununua makahaba, nikisema nianze elezea machimbo ya shivaz, malindi, Tegeta kibo, etc na malaya zake ntajaza thread KijanaHuru dronedrake
 
Shenzi sana ona mpaka nimeenda Fb kusearch si ana rasta?
Ndio, ana rasta, watu wanadhani nlivoandika hii thread, namtangaza huyo mdada, ila kiuhalisia binadamu tuko kwenye vita nzito ya kiroho

Nina mashaka kama sio jini, bhas ni binadamu ambaye ni ajenti wa ibilisi, anaetumwa kwa ajili ya mission flani
njumu za kosovo
 
Huo ni mtazamo wenu, ila mm binafsi nlivoandika hii thread sikua na nia ya kumtangaza huyo mdada, coz mdada mwenyewe ana smartphone, ivo hanihitaji mm nimtangaze, nia yangu tu ni kusisitiza wanaume tuwe makini, sahiv nshaacha iyo tabia ya kununua dada poa.. ni addiction mbaya na ni risk .

Kwa kifupi mm nilikua ni mteja tu wa kununua makahaba, nikisema nianze elezea machimbo ya shivaz, malindi, Tegeta kibo, etc na malaya zake ntajaza thread KijanaHuru dronedrake
Bora tu umeacha, jitahidi kufwata anayoyapenda aliekuumba
 
Huo ni mtazamo wenu, ila mm binafsi nlivoandika hii thread sikua na nia ya kumtangaza huyo mdada, coz mdada mwenyewe ana smartphone, ivo hanihitaji mm nimtangaze, nia yangu tu ni kusisitiza wanaume tuwe makini, sahiv nshaacha iyo tabia ya kununua dada poa.. ni addiction mbaya na ni risk .

Kwa kifupi mm nilikua ni mteja tu wa kununua makahaba, nikisema nianze elezea machimbo ya shivaz, malindi, Tegeta kibo, etc na malaya zake ntajaza thread KijanaHuru dronedrake
Ukimchukua kwa mara nyingine tena, nenda na nyama ya Kitimoto 🐽🐷, halafu mshawishi ale! Akikataa, basi ujue huyo kweli ni jini!! Timua mbio!! 🏃🏃
 
Back
Top Bottom