Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

Huo ni uongo Ambao sisi binadamu tunajidanganya nao, Nilifanya research mtandaoni nikagundua majini wanaovaa umbo la kibinadamu nao wanakula kitimoto kama kawaida, kuna siku ntaleta thread hapa inayohusu majini tunayoishi nayo yaliyo na umbo la kibinadamu Tate Mkuu
Shusha thread mkuu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ukimchukua kwa mara nyingine tena, nenda na nyama ya Kitimoto 🐽🐷, halafu mshawishi ale! Akikataa, basi ujue huyo kweli ni jini!! Timua mbio!! 🏃🏃


Halafu Tate Mkuu unavyomshauri mwenzio mara paaap anachukua nyama ya wale 🐷🐖🐷🐖 wa kwenye Marko 5: 13 🤣🤣🤣





Marko 5​

2 Na alipokwisha kushuka chomboni, mara alikutana na mtu, ambaye ametoka makaburini, mwenye pepo mchafu;
3 makao yake yalikuwa pale makaburini; wala hakuna mtu ye yote aliyeweza kumfunga tena, hata kwa minyororo;
4 kwa sababu alikuwa amefungwa mara nyingi kwa pingu na minyororo, akaikata ile minyororo, na kuzivunja-vunja zile pingu; wala hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda.
5 Na sikuzote, usiku na mchana, alikuwako makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikata-kata kwa mawe.
6 Na alipomwona Yesu kwa mbali, alipiga mbio, akamsujudia;
7 akapiga kelele kwa sauti kuu, akasema, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakuapisha kwa Mungu usinitese.
8 Kwa sababu amemwambia, Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu.
9 Akamwuliza, Jina lako nani? Akamjibu, Jina langu ni Legioni, kwa kuwa tu wengi.
10 Akamsihi sana asiwapeleke nje ya nchi ile.
11 Na hapo milimani palikuwa na kundi kubwa la nguruwe, wakilisha.
12 Pepo wote wakamsihi, wakisema, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao.
13 Akawapa ruhusa. Wale pepo wachafu wakatoka, wakaingia katika wale nguruwe; nalo kundi lote likatelemka kwa kasi gengeni, wakaingia baharini, wapata elfu mbili; wakafa baharini.
 
Huo ni mtazamo wenu, ila mm binafsi nlivoandika hii thread sikua na nia ya kumtangaza huyo mdada, coz mdada mwenyewe ana smartphone, ivo hanihitaji mm nimtangaze, nia yangu tu ni kusisitiza wanaume tuwe makini, sahiv nshaacha iyo tabia ya kununua dada poa.. ni addiction mbaya na ni risk .

Kwa kifupi mm nilikua ni mteja tu wa kununua makahaba, nikisema nianze elezea machimbo ya shivaz, malindi, Tegeta kibo, etc na malaya zake ntajaza thread KijanaHuru dronedrake
Afya yako vip mkuu...hauna umeme kwel
 
Hii M
Huo ni mtazamo wenu, ila mm binafsi nlivoandika hii thread sikua na nia ya kumtangaza huyo mdada, coz mdada mwenyewe ana smartphone, ivo hanihitaji mm nimtangaze, nia yangu tu ni kusisitiza wanaume tuwe makini, sahiv nshaacha iyo tabia ya kununua dada poa.. ni addiction mbaya na ni risk .

Kwa kifupi mm nilikua ni mteja tu wa kununua makahaba, nikisema nianze elezea machimbo ya shivaz, malindi, Tegeta kibo, etc na malaya zake ntajaza thread KijanaHuru dronedrake
Hii malindi ni ya moshi mjini? Naomba location sahihi ili siku nikitembelea huko nikasuuze macho
 
Anaitwa Jacky, nilimfahamu mwaka 2019,huo mwaka nulimchukua mara moja kwa ajili ya short for first time, sasa tukajenga mazoea kwa vile akiwa chumbani ni mchangamfu sana, aliiona picha yangu kwenye simu, akaniambia hiyo picha ya siku nyingi, nikamuuliza amejuaje akaniambia kwasababu ameona damu, mmh nikaguna kimoyomoyo ila nikaweka alama ya kuuliza kichwani.

Kwa mara ya kwanza nilimchukua mara moja tu, ikapita miezi mingi sikwenda kona baa, siku nilienda tena pale, nilimwona kwa mbali ananikazia macho na kuniangalia kwa makini, nilivyoendaga kumchukua mara ya pili, aliniambia mambo yote nilikuwa nafanya pale kona baa kwa usiku ule na yalikuwa kweli nikasema miezi mingi imepita tangu nimchukue ina maana hajanisahaugi.

Nina mashaka na huyu changu, ingawa ni Mweusi, mzuri ana kiuno nyigu, na chura Mkubwa, FB anatumia jina la Jack Chacha kwa wahudhuriaji wa kona baa mtakuwa mnamfahamu huyo mdada, kuna uwezekano mkubwa nilifanya ngono na a fallen angel (mmoja wa malaika aliefukuzwa mbinguni na shetani)

Wanaume tuwe makini..
Jini chacha
 
Anaitwa Jacky, nilimfahamu mwaka 2019,huo mwaka nulimchukua mara moja kwa ajili ya short for first time, sasa tukajenga mazoea kwa vile akiwa chumbani ni mchangamfu sana, aliiona picha yangu kwenye simu, akaniambia hiyo picha ya siku nyingi, nikamuuliza amejuaje akaniambia kwasababu ameona damu, mmh nikaguna kimoyomoyo ila nikaweka alama ya kuuliza kichwani.

Kwa mara ya kwanza nilimchukua mara moja tu, ikapita miezi mingi sikwenda kona baa, siku nilienda tena pale, nilimwona kwa mbali ananikazia macho na kuniangalia kwa makini, nilivyoendaga kumchukua mara ya pili, aliniambia mambo yote nilikuwa nafanya pale kona baa kwa usiku ule na yalikuwa kweli nikasema miezi mingi imepita tangu nimchukue ina maana hajanisahaugi.

Nina mashaka na huyu changu, ingawa ni Mweusi, mzuri ana kiuno nyigu, na chura Mkubwa, FB anatumia jina la Jack Chacha kwa wahudhuriaji wa kona baa mtakuwa mnamfahamu huyo mdada, kuna uwezekano mkubwa nilifanya ngono na a fallen angel (mmoja wa malaika aliefukuzwa mbinguni na shetani)

Wanaume tuwe makini..
Ila sasa bahati mbaya hakuna malaika wa kike ingawa mara nyingi nasikia story kama hizi. "ALL ANGELS ARE MEN" rejea biblia ya kingereza hutumia kiwakilishi he au sons of GOD kuongelea malaika
 
FB anatumia jina la Jack Chacha
Yupi hapo?
Screenshot_2021-08-11-18-37-34-776_com.facebook.katana.jpg
 
Back
Top Bottom