Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
Ni wasiwasi wako tu, huyo ni sawa na mwalimu anavyokariri wanaeunzi wake.
Kuna siku nilikuwa nimenunua malaya, sasa bahati mbaya nilikuwa maji sana kwa k-vant.
Tulivyofika guest nikavua suruali yenye hela nikaiacha nikaenda kuoga kwanza. (kiwango cha hela hakikujulikana na ndio tabia yetu walevi, huwa tunahesabu zinazobaki asubuhi)
Nilivyorudi nikamkaza sana, badae akaniuliza wewe ni mgeni kwenye kununua dada poa? Nikamuuliza kwanini unaniuliza hivyo! Akasema kuna kitu cha uzembe amegundua but ataniambia siku nyingine, tukaachana.
Siku nyingine nikaenda C- PARK na nikanyosha moja kwa moja juu coz kuna demu nilimwelekeza aje juu kuna utulivu fulani.
Ile nakaa tu kwenye sofa na malaya yule huyu hapa, akasema ameniona pale chini napita, akanikumbuka ameamua anifate.
Akasema ana nyege nimbandue na nisimpe hela nimpe tu castle lite 3.
Ndio katika stori akaniambia ile siku nimeenda kumto_, nilivyoacha suruali yenye hela ili nikaoge, alichukua 20,000 kwenye suruali na ndio maana aliniuliza ni mgeni kwenye tasnia?
Kuna siku nilikuwa nimenunua malaya, sasa bahati mbaya nilikuwa maji sana kwa k-vant.
Tulivyofika guest nikavua suruali yenye hela nikaiacha nikaenda kuoga kwanza. (kiwango cha hela hakikujulikana na ndio tabia yetu walevi, huwa tunahesabu zinazobaki asubuhi)
Nilivyorudi nikamkaza sana, badae akaniuliza wewe ni mgeni kwenye kununua dada poa? Nikamuuliza kwanini unaniuliza hivyo! Akasema kuna kitu cha uzembe amegundua but ataniambia siku nyingine, tukaachana.
Siku nyingine nikaenda C- PARK na nikanyosha moja kwa moja juu coz kuna demu nilimwelekeza aje juu kuna utulivu fulani.
Ile nakaa tu kwenye sofa na malaya yule huyu hapa, akasema ameniona pale chini napita, akanikumbuka ameamua anifate.
Akasema ana nyege nimbandue na nisimpe hela nimpe tu castle lite 3.
Ndio katika stori akaniambia ile siku nimeenda kumto_, nilivyoacha suruali yenye hela ili nikaoge, alichukua 20,000 kwenye suruali na ndio maana aliniuliza ni mgeni kwenye tasnia?