Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

Popular now
_20210811_222855.JPG
 
Ndio, ana rasta, watu wanadhani nlivoandika hii thread, namtangaza huyo mdada, ila kiuhalisia binadamu tuko kwenye vita nzito ya kiroho

Nina mashaka kama sio jini, bhas ni binadamu ambaye ni ajenti wa ibilisi, anaetumwa kwa ajili ya mission flani
njumu za kosovo
Aliyenunua changu doa,na aliyenunuliwa, nani agent wa ibilisi?
 
Sio Aquaman tu, alladin, spiderman, captain America, batman, cjui filamu za mermaid, X-Men, Powerpuff girls cartoon, the hulk, superheroes wote wa hollywood (marvel comics) ni majini wanajionesha moja ya maumbo yao, wanajifanya wao ni waokoaji, wanaiga tabia ya Yesu ya kuokoa ili wawe admired Samcezar
Sasa ni wakati na sisi Bongo tupate m'moja kupitia shemeji yetu jini......
 
Jiandae Kuuliwa au hata Kudhuruliwa nae Ndugu kwani Watu kama hawa huwa hawataki Kuumbuliwa hivi.

Kuwa makini sana kwani nawajua japo sitaki uniulize Swali la Kwanini.
Kwanini sasa?!
 
Mkuu
wala huyo sio Jini
na haitwi Jack Chacha
Bali anaitwa Rucy
nilimkuta Ambiance
nimempiga pia nami
anatumia mafuta ya parachute
Kweli mtoto ana kiuno
Aisee sitasahau kwa kweli!
Kama ni Jini utakuwa wewe ni wa pekee
Nina picha zake tumekuwa tukiwasiliana ila kwa sasa sina mawasiliano nae
Hivyo huyo Jamaa asiogope
Aisee
 
Hii utumika kama heshima tu ,ila nakumbuka nilivyosoma mie ni kwamba hawa malaika awana jinsia

Sent from my Infinix X623

Hii utumika kama heshima tu ,ila nakumbuka nilivyosoma mie ni kwamba hawa malaika awana jinsia

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Tujuzane kitabu gan na sura ya ngap na msitari upi katika biblia unasema malaika hawana jinsia?? GOD AND ALL ANGELS ARE MEN na wanajinsia hata BWANA YESU mwenyewe alitahiriwa na hakuna mahal panaposema alipopaa juu jinsia ilitoweka
 
Anaitwa Jacky, nilimfahamu mwaka 2019,huo mwaka nulimchukua mara moja kwa ajili ya short for first time, sasa tukajenga mazoea kwa vile akiwa chumbani ni mchangamfu sana, aliiona picha yangu kwenye simu, akaniambia hiyo picha ya siku nyingi, nikamuuliza amejuaje akaniambia kwasababu ameona damu, mmh nikaguna kimoyomoyo ila nikaweka alama ya kuuliza kichwani.

Kwa mara ya kwanza nilimchukua mara moja tu, ikapita miezi mingi sikwenda kona baa, siku nilienda tena pale, nilimwona kwa mbali ananikazia macho na kuniangalia kwa makini, nilivyoendaga kumchukua mara ya pili, aliniambia mambo yote nilikuwa nafanya pale kona baa kwa usiku ule na yalikuwa kweli nikasema miezi mingi imepita tangu nimchukue ina maana hajanisahaugi.

Nina mashaka na huyu changu, ingawa ni Mweusi, mzuri ana kiuno nyigu, na chura Mkubwa, FB anatumia jina la Jack Chacha kwa wahudhuriaji wa kona baa mtakuwa mnamfahamu huyo mdada, kuna uwezekano mkubwa nilifanya ngono na a fallen angel (mmoja wa malaika aliefukuzwa mbinguni na shetani)

Wanaume tuwe makini..
Hiyo picha kwenye simu yako ilikuwa na damu kweli?
 
Anaitwa Jacky, nilimfahamu mwaka 2019,huo mwaka nulimchukua mara moja kwa ajili ya short for first time, sasa tukajenga mazoea kwa vile akiwa chumbani ni mchangamfu sana, aliiona picha yangu kwenye simu, akaniambia hiyo picha ya siku nyingi, nikamuuliza amejuaje akaniambia kwasababu ameona damu, mmh nikaguna kimoyomoyo ila nikaweka alama ya kuuliza kichwani.

Kwa mara ya kwanza nilimchukua mara moja tu, ikapita miezi mingi sikwenda kona baa, siku nilienda tena pale, nilimwona kwa mbali ananikazia macho na kuniangalia kwa makini, nilivyoendaga kumchukua mara ya pili, aliniambia mambo yote nilikuwa nafanya pale kona baa kwa usiku ule na yalikuwa kweli nikasema miezi mingi imepita tangu nimchukue ina maana hajanisahaugi.

Nina mashaka na huyu changu, ingawa ni Mweusi, mzuri ana kiuno nyigu, na chura Mkubwa, FB anatumia jina la Jack Chacha kwa wahudhuriaji wa kona baa mtakuwa mnamfahamu huyo mdada, kuna uwezekano mkubwa nilifanya ngono na a fallen angel (mmoja wa malaika aliefukuzwa mbinguni na shetani)

Wanaume tuwe makini..
Ngoja nikamtazame FB kwanza
 
ngoja nimtafute kwanza huyo jack chacha ndo hawa wanatuwekeaga papuchi za wanyama *****
 
Back
Top Bottom