Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah huyo ndo ulimununua?Ndio, ana rasta, watu wanadhani nlivoandika hii thread, namtangaza huyo mdada, ila kiuhalisia binadamu tuko kwenye vita nzito ya kiroho
Nina mashaka kama sio jini, bhas ni binadamu ambaye ni ajenti wa ibilisi, anaetumwa kwa ajili ya mission flani
njumu za kosovo
Acha kudanganya watu weweSio Aquaman tu, alladin, spiderman, captain America, batman, cjui filamu za mermaid, X-Men, Powerpuff girls cartoon, the hulk, superheroes wote wa hollywood (marvel comics) ni majini wanajionesha moja ya maumbo yao, wanajifanya wao ni waokoaji, wanaiga tabia ya Yesu ya kuokoa ili wawe admired Samcezar
dah mpaka nmeingia fb ana rasta na pua pana sijui ndo yeye,kama ndo yy mbona agent bado mdogo hvyo akifika umri wang si amewamaliza wengiNdio, ana rasta, watu wanadhani nlivoandika hii thread, namtangaza huyo mdada, ila kiuhalisia binadamu tuko kwenye vita nzito ya kiroho
Nina mashaka kama sio jini, bhas ni binadamu ambaye ni ajenti wa ibilisi, anaetumwa kwa ajili ya mission flani
njumu za kosovo
mtu akishalewa anatafuta pa kukojolea tu hayo mengine ya uzuri siku nyingine akiwa mzimaDah huyo ndo ulimununua?
Wanaume mna roho ngumu sana aisee
Duh huyo hata jero sio wakupewa yani ka katoka huko kijijini, wanaume mna roho ngumu sana.mtu akishalewa anatafuta pa kukojolea tu hayo mengine ya uzuri siku nyingine akiwa mzima
Acha kutishia watu na mm nataka nikamuonje jini....Jiandae Kuuliwa au hata Kudhuruliwa nae Ndugu kwani Watu kama hawa huwa hawataki Kuumbuliwa hivi.
Kuwa makini sana kwani nawajua japo sitaki uniulize Swali la Kwanini.
Kiranga ni pepo sio jiniHivi Kiranga sio jini kweli?
Na wapiga chabo usiwasahau hawaSiri ya tendo la ndoa ni Mungu na ninyi wahusika.
ndo mana kuna classesDuh huyo hata jero sio wakupewa yani ka katoka huko kijijini, wanaume mna roho ngumu sana.
Mama D unaonekana ni mtu mwema sana na unaejitambua. Ila sisiemu sijui walikupa nini?Mungu wako anakupenda sana
Fuata akili zako na usikilize sauti ya ndani inayoongea na wewe utakua salama
Haki ya Mungu, kama kuna atakayeweza kuuona Ufalme wa Milele hapa JF, basi nimebaki peke yangu!!! Yaani nilipoona tu hiyo "Caring Is Sharing" hapo kwenye RED, nikajua tu wana-JF wamejazana huko!FB anatumia jina la Jack Chacha kwa wahudhuriaji wa kona baa mtakuwa mnamfahamu huyo mdada,
Kwenye sex huwa anasisitiza kondom au yuko free? Maana wengine wanakusanya sperm.Ndio, ana rasta, watu wanadhani nlivoandika hii thread, namtangaza huyo mdada, ila kiuhalisia binadamu tuko kwenye vita nzito ya kiroho
Nina mashaka kama sio jini, bhas ni binadamu ambaye ni ajenti wa ibilisi, anaetumwa kwa ajili ya mission flani
njumu za kosovo
Mama D unaonekana ni mtu mwema sana na unaejitambua. Ila sisiemu sijui walikupa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuchukue Tupeleko wapi sasa? [emoji38][emoji38][emoji38]Pole mkuu,na shahawa mnazoacha kwenye vikapu vya gesti zinatumiwa sana.Muwe mnachukua mrudi nazo