kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Mtungi ulikataa kupanda jogoo ama?Kuna tukio lilinitokea hapo kona bar nikaamini uchawi wa ngono upo [emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtungi ulikataa kupanda jogoo ama?Kuna tukio lilinitokea hapo kona bar nikaamini uchawi wa ngono upo [emoji1787]
Huyo mbona mzuri sana? Hatuangalii sura tunaangalia wowowoDuh huyo hata jero sio wakupewa yani ka katoka huko kijijini, wanaume mna roho ngumu sana.
Walifanyaje hao chadema? Nifafanulie pls.Mimi sio mwema sana kiboboso, nina ubinadamu wangu pia kama ilivyo asili yetu wana wa Adam.
Kukosea kupo ila ukiona nafsi yako inakushuhudia makosa na unapata maumivu au hofu ya makosa yako, ukawa unayajutia na kuumia hata kujutia na kuchukia mazingira yaliyokupeleke huko basi ujue mkono wa Mungu uko juu yako na unatakiwa kubadilika.
Sisiemu hawajanipa chochote ila nikikumbuka chadema walichowafanyia watanzania 2015 najisemea heri heri nusu shari kuliko shari kamili
Nipo mbona mkuu.Jamaa umepotea sana whatsapp
😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋Ndo huyu huyu, hlf ana makalio makubwa na malaini,
hapana nilibadilishiwa target kimazingara.
Mna tahadharishwa jamaniMada za machangudoa zimekua nyingi humu… waacheni nao wajitaftie ridhki…
Kona Bar inapatikana wapi mpwa nahitaji kufanya utafitiAnaitwa Jacky, nilimfahamu mwaka 2019,huo mwaka nulimchukua mara moja kwa ajili ya short for first time, sasa tukajenga mazoea kwa vile akiwa chumbani ni mchangamfu sana, aliiona picha yangu kwenye simu, akaniambia hiyo picha ya siku nyingi, nikamuuliza amejuaje akaniambia kwasababu ameona damu, mmh nikaguna kimoyomoyo ila nikaweka alama ya kuuliza kichwani.
Kwa mara ya kwanza nilimchukua mara moja tu, ikapita miezi mingi sikwenda kona baa, siku nilienda tena pale, nilimwona kwa mbali ananikazia macho na kuniangalia kwa makini, nilivyoendaga kumchukua mara ya pili, aliniambia mambo yote nilikuwa nafanya pale kona baa kwa usiku ule na yalikuwa kweli nikasema miezi mingi imepita tangu nimchukue ina maana hajanisahaugi.
Nina mashaka na huyu changu, ingawa ni Mweusi, mzuri ana kiuno nyigu, na chura Mkubwa, FB anatumia jina la Jack Chacha kwa wahudhuriaji wa kona baa mtakuwa mnamfahamu huyo mdada, kuna uwezekano mkubwa nilifanya ngono na a fallen angel (mmoja wa malaika aliefukuzwa mbinguni na shetani)
Wanaume tuwe makini..
Haupo activeNipo mbona mkuu.
Nyie si mnatubaniaDah huyo ndo ulimununua?
Wanaume mna roho ngumu sana aisee
[emoji23][emoji23][emoji23] ndo mkabebe kitu yoyote tu with no quality and classy. Shikamooni nyie wanaumeNyie si mnatubania
Hata wachagga ?Jacky chacha inamaana huyu changu Ni mkuria.
Mkuu ulikuta Kisibusi hapo miguu inapokutana?
Wakuria , wamasai, wachagga , wagogo ,wagita, wapare nadhani na wanyakyusa Ni walewale mlango ulishachukuliwa na ngariba.
Nitafute Jumamosi nikupelekeKona Bar inapatikana wapi mpwa nahitaji kufanya utafiti
Naomba basi kidogooòoooo[emoji23][emoji23][emoji23] ndo mkabebe kitu yoyote tu with no quality and classy. Shikamooni nyie wanaume