Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Kweli ni jini nimeanza FB yake naona manyaunyau tu kwenye profile lake
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakuahidiHapana hichi hakitumiki acha kipate tu uvundo
Yeah, umenijibu vyema!Nashukuru kama nimeweza kukupa jibu
Jini
Njoo pm mkuuNdo huyu huyu, hlf ana makalio makubwa na malaini, kiukweli uwezi jua jini kwa kumtazama, ndio maana nikasema namuhisi kwasababu na wao saa ingine mara chache sana inatokea wanateleza kimaneno, hivyo wanajiexpose Sergeant Stonebridge
[emoji23][emoji23][emoji23] sitaki tu Mimi na niliu yangu kutumika hovyo. Wewe kiheshimu tu hivo hivo ka ccm na mwengeNakuahidi
Ukinipa nitakilinda na kukiheshimu kama ccm inavyouheshimu mwenge wa Uhuru
Toilet of home sweet home
Thibitisha jini anawezekana kuwepo na si hadithi tu.Kiranga wewe ni jini.
Thibitisha kama wewe sio jini!
Logical non sequitur.Uwepo wako ni uthibitisho kwamba jini anaweza kuwepo.
Thibitisha kama wewe sio jini.
Thibitisha kwamba mimi nipo.Uwepo wa jini unathibitisha kwamba jini lipo.
Wewe ni jini na upo. Kwahiyo uwepo wako umethibitisha kwamba jini lipo na linaweza kuwepo.
Bado hujathibitisha kwamba wewe sio jini.
Aisee..!!Thibitisha kwamba mimi nipo.
Hizo quality na class kawapelekeeni wajinga wajinga muwapige pesa....[emoji23][emoji23][emoji23] ndo mkabebe kitu yoyote tu with no quality and classy. Shikamooni nyie wanaume
Hujathibitisha kwamba mimi nipo.Thibitisha kwamba wewe haupo.
Huyo dada kasifiwa kuliko uhalisia why kununua low grade[emoji23][emoji23]Hizo quality na class kawapelekeeni wajinga wajinga muwapige pesa....
Yani kujamba unajamba wewe, halafu lawama unanipa mimi?Wewe ni jini.
Thibitisha kwamba wewe sio jini.
Thibitisha mimi jini.Kwani wewe sio jini?
Hiyo pumzi unavuta kakupa nani kama sio Mungu?Habari za majini zinasema wanaamini Mungu.
Kiranga haamini Mungu.
Hivyo Kiranga si jini.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Wewe ni jiniThibitisha kwamba mimi nipo.