Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

Kweli ni jini nimeanza FB yake naona manyaunyau tu kwenye profile lake
Nalog off
 
Ndo huyu huyu, hlf ana makalio makubwa na malaini, kiukweli uwezi jua jini kwa kumtazama, ndio maana nikasema namuhisi kwasababu na wao saa ingine mara chache sana inatokea wanateleza kimaneno, hivyo wanajiexpose Sergeant Stonebridge
Njoo pm mkuu
Connection yake

Ova
 
Nilipita pale baa na kumchukua kupunguza mihemko, bwana we!! It's an unforgettable experience
 
Thibitisha kwamba wewe haupo.
Hujathibitisha kwamba mimi nipo.

Hata mimi nikishindwa kuthibitisha mimi sipo, hilo halithibitishi mimi nipo.

Kwanza hata hujui mimi ni nani.

Mimi ni nani? Unajua mimi ni nani?

Na kama hujui mimi ni nani, utathibitishje nipo?

Niambie kwa uthibitisho mimi ni nani, thibitisha nipo.
 
Back
Top Bottom