Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

Mkuu
wala huyo sio Jini
na haitwi Jack Chacha
Bali anaitwa Rucy
nilimkuta Ambiance
nimempiga pia nami
anatumia mafuta ya parachute
Kweli mtoto ana kiuno
Aisee sitasahau kwa kweli!
Kama ni Jini utakuwa wewe ni wa pekee
Nina picha zake tumekuwa tukiwasiliana ila kwa sasa sina mawasiliano nae
Hivyo huyo Jamaa asiogope
Na Sahivi kwa pale kona baa naona jack/rucy ndio mzuri kuliko wote, wengine hamna kitu Sergeant Stonebridge
 
A
Halafu Tate Mkuu unavyomshauri mwenzio mara paaap anachukua nyama ya wale 🐷🐖🐷🐖 wa kwenye Marko 5: 13 🤣🤣🤣





Marko 5​

2 Na alipokwisha kushuka chomboni, mara alikutana na mtu, ambaye ametoka makaburini, mwenye pepo mchafu;
3 makao yake yalikuwa pale makaburini; wala hakuna mtu ye yote aliyeweza kumfunga tena, hata kwa minyororo;
4 kwa sababu alikuwa amefungwa mara nyingi kwa pingu na minyororo, akaikata ile minyororo, na kuzivunja-vunja zile pingu; wala hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda.
5 Na sikuzote, usiku na mchana, alikuwako makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikata-kata kwa mawe.
6 Na alipomwona Yesu kwa mbali, alipiga mbio, akamsujudia;
7 akapiga kelele kwa sauti kuu, akasema, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakuapisha kwa Mungu usinitese.
8 Kwa sababu amemwambia, Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu.
9 Akamwuliza, Jina lako nani? Akamjibu, Jina langu ni Legioni, kwa kuwa tu wengi.
10 Akamsihi sana asiwapeleke nje ya nchi ile.
11 Na hapo milimani palikuwa na kundi kubwa la nguruwe, wakilisha.
12 Pepo wote wakamsihi, wakisema, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao.
13 Akawapa ruhusa. Wale pepo wachafu wakatoka, wakaingia katika wale nguruwe; nalo kundi lote likatelemka kwa kasi gengeni, wakaingia baharini, wapata elfu mbili; wakafa baharini.
Aaaaahaaaaaà, kumbe majini yanachukia kiti moto kwa kuwa kiti moto kilikataa kuishi na majini kikaamua bora kikafilie mbali kuliko kukaliwa na jini eeh😜? Sikuwahi kufunuliwa hivi i see!
 
A

Aaaaahaaaaaà, kumbe majini yanachukia kiti moto kwa kuwa kiti moto kilikataa kuishi na majini kikaamua bora kikafilie mbali kuliko kukaliwa na jini eeh😜? Sikuwahi kufunuliwa hivi i see!

Halafu kumbe majini pia huwa yanamuomba Mungu 😂😂😂😂

"12 Pepo wote wakamsihi, wakisema, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao. 13 Akawapa ruhusa. Wale pepo wachafu wakatoka, wakaingia katika wale nguruwe; "

halafu sisi wanadamu tunajudai tuko busy muda wa kuongea na Mungu hatuna😆😆
 
Halafu kumbe majini pia huwa yanamuomba Mungu 😂😂😂😂

"12 Pepo wote wakamsihi, wakisema, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao. 13 Akawapa ruhusa. Wale pepo wachafu wakatoka, wakaingia katika wale nguruwe; "

halafu sisi wanadamu tunajudai tuko busy muda wa kuongea na Mungu hatuna😆😆
Cha kushangaza Mungu naye huyajibu maombi yao tena kwa kuwapa tamanio lao😲!
 
Afadhali umeliona hilo mapema
Mshana habari jako aithee.Nepatie ajali mbivi thaa kenda,mthi wa Ijumaa,tarehe ushirini na kamwe, mweji wa kathano,mwaka wa 2021!Iii tarehe o.....,mbona teiho nedho.Mbona kama ni ajali iliyopangwa precisely na kuzimu?Hata huvo nimshukuru Mrungu sifwie.
 
Halafu Tate Mkuu unavyomshauri mwenzio mara paaap anachukua nyama ya wale [emoji200][emoji241][emoji200][emoji241] wa kwenye Marko 5: 13 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]





Marko 5​

2 Na alipokwisha kushuka chomboni, mara alikutana na mtu, ambaye ametoka makaburini, mwenye pepo mchafu;
3 makao yake yalikuwa pale makaburini; wala hakuna mtu ye yote aliyeweza kumfunga tena, hata kwa minyororo;
4 kwa sababu alikuwa amefungwa mara nyingi kwa pingu na minyororo, akaikata ile minyororo, na kuzivunja-vunja zile pingu; wala hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda.
5 Na sikuzote, usiku na mchana, alikuwako makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikata-kata kwa mawe.
6 Na alipomwona Yesu kwa mbali, alipiga mbio, akamsujudia;
7 akapiga kelele kwa sauti kuu, akasema, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakuapisha kwa Mungu usinitese.
8 Kwa sababu amemwambia, Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu.
9 Akamwuliza, Jina lako nani? Akamjibu, Jina langu ni Legioni, kwa kuwa tu wengi.
10 Akamsihi sana asiwapeleke nje ya nchi ile.
11 Na hapo milimani palikuwa na kundi kubwa la nguruwe, wakilisha.
12 Pepo wote wakamsihi, wakisema, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao.
13 Akawapa ruhusa. Wale pepo wachafu wakatoka, wakaingia katika wale nguruwe; nalo kundi lote likatelemka kwa kasi gengeni, wakaingia baharini, wapata elfu mbili; wakafa baharini.
Samahani, Huyu Marko ni nani?
 
Anaitwa Jacky, nilimfahamu mwaka 2019,huo mwaka nulimchukua mara moja kwa ajili ya short for first time, sasa tukajenga mazoea kwa vile akiwa chumbani ni mchangamfu sana, aliiona picha yangu kwenye simu, akaniambia hiyo picha ya siku nyingi, nikamuuliza amejuaje akaniambia kwasababu ameona damu, mmh nikaguna kimoyomoyo ila nikaweka alama ya kuuliza kichwani.

Kwa mara ya kwanza nilimchukua mara moja tu, ikapita miezi mingi sikwenda kona baa, siku nilienda tena pale, nilimwona kwa mbali ananikazia macho na kuniangalia kwa makini, nilivyoendaga kumchukua mara ya pili, aliniambia mambo yote nilikuwa nafanya pale kona baa kwa usiku ule na yalikuwa kweli nikasema miezi mingi imepita tangu nimchukue ina maana hajanisahaugi.

Nina mashaka na huyu changu, ingawa ni Mweusi, mzuri ana kiuno nyigu, na chura Mkubwa, FB anatumia jina la Jack Chacha kwa wahudhuriaji wa kona baa mtakuwa mnamfahamu huyo mdada, kuna uwezekano mkubwa nilifanya ngono na a fallen angel (mmoja wa malaika aliefukuzwa mbinguni na shetani)

Wanaume tuwe makini..
Kua makini
 
Samahani, Huyu Marko ni nani?
Sijui umeuliza ukiwa unataka kujua nini ila Marko alikua mfuasi na mmoja kati ya mitume wa Yesu Kristo. Awali kabla ya kuitwa na Yesu Kristo alikua na kazi yake rasmi kwenye mamlaka ya mapato kama mtoza ushuru (mkusaya tozo/kodi)
 
Sijui umeuliza ukiwa unataka kujua nini ila Marko alikua mfuasi na mmoja kati ya mitume wa Yesu Kristo. Awali kabla ya kuitwa na Yesu Kristo alikua na kazi yake rasmi kwenye mamlaka ya mapato kama mtoza ushuru (mkusaya tozo/kodi)
Sawa Mama D. Asante!
 
Back
Top Bottom