dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Mitano tena kwa mamaKijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Nenda kule kwa Davista Mata kuna Shuhuda nyingi sana. Ukajifunze kwa nini matajiri ( baadhi) wanapenda show off na kutoa misaada ila sio ile endelevu bali ile unayokula na kunywa basiKijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoj
Tuachane kufatilia mambo ya watu mkuu jali maisha yako mitandao itakukosesha amani yule kijana anasaka "fame"Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Naunga mkonoMitano tena kwa mama
Mind your own business we kapuku uliekubuhu....Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Sawa Bosi...NAAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE MARA MOJA.
Mkuu hii hasira yako inatokana na nini? Sio kwamba ndio tabia za makapuku?Mind your own business we kapuku uliekubuhu....
Na kumzungumzia ndio fame ye yewe. Sasa kosa la Namgari liko wapi?Tuachane kufatilia mambo ya watu mkuu jali maisha yako mitandao itakukosesha amani yule kijana anasaka "fame"
Jamaa ana kadi ya CCM uzuri siyo chawa kama Lucas na hana degree ya UDSM kama Lucas.Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
HahahaJamaa ana kadi ya CCM uzuri siyo chawa kama Lucas na hana degree ya UDSM kama Lucas.
Hivi astronaut aliekufa angani kalpana Chawla ndio wewe?Nimekumis sana jukwaani jirani dr namugari au umehama mitaa yetu huku?