Sadaka!Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Naunga mkono hoja. Tajiri wa kweli hapigi picha na hela. Angalia akina Mzee Bakhresa, Mo, GSM, matajiri wa madini huko Arusha. Hakuna siku utaona wanafanya ujinga huo. Huyu Godlove atakuwa anafanya Money Laundering. Achunguzwe na Mamlaka aonyeshe chanzo cha mapato yake, ulipaji kodi wake na wateja wake wanaompa hizo hela za burebure!! Anaharibu vijana ambao wanaona kuna njia fupi za kupata pesa badala ya kufanya kazi kwa bidii.Kweli Wakuu ni lazima tuhoji huyu Chief Godlove na hela zake za maonyesho ana miradi gani ya kumuingizia hizo pesa za maonyesho ? Hatuna wivu lakini ni muhimu pia kujua, maana wenye hela huwa hawapigi nazo picha na kuweka mitandaoni. Tunachokiona mitandaoni ni bidhaa zao zinazowafanya waitwe matajiri lakini hawapigi picha na hela zao. Muhimu TRA Tanzania na vyombo vingine vilichunguze hili. Vijana wengi wanaathirika kisaikolojia wanavyoangalia hizi video na kejeli zake huyu Chief Godlove
Kisha Taarifa Wasikuletee!NAAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE MARA MOJA.
Fuata mkondo wa shetani kwa kutenda matendo yake (hiyo ndio kumsujudia) kama; wizi, ufisadi, ushirikina, utapeli, uongo, kuumiza watu n.kBila shaka wala kumungunya maneno HUNA HELA kama unazo za KULA tu .
Kuna poyoyo mmoja hapo post #133 kani quote eti 🤣🤣🤣Naunga mkono hoja. Tajiri wa kweli hapigi picha na hela. Angalia akina Mzee Bakhresa, Mo, GSM, matajiri wa madini huko Arusha. Hakuna siku utaona wanafanya ujinga huo. Huyu Godlove atakuwa anafanya Money Laundering. Achunguzwe na Mamlaka aonyeshe chanzo cha mapato yake, ulipaji kodi wake na wateja wake wanaompa hizo hela za burebure!! Anaharibu vijana ambao wanaona kuna njia fupi za kupata pesa badala ya kufanya kazi kwa bidii.
😂😂😂Kuna poyoyo mmoja hapo post #133 kani quote eti 🤣🤣🤣
Acha roho mbaya kijana,uchawi unaanzaga hivi hiviKijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Hiyo Davista yupo Instagram au mtandao gani?Nwn
Nenda kule kwa Davista Mata kuna Shuhuda nyingi sana. Ukajifunze kwa nini matajiri ( baadhi) wanapenda show off na kutoa misaada ila sio ile endelevu bali ile unayokula na kunywa basi
Youtube channelHiyo Davista yupo Instagram au mtandao gani?
Acha wivu nawewe ,kutakatisha pesa wangekwisha mnasa. pia kutumia mil 40 mlimani si kweliKijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Mamlaka zimelala usingizi. Mfanya biashara gani hana TIN ukiambiwa anatakatisha fedha unakataajeKijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Sio kwamba upo majimatituDogo hunijui wewe. Unajuwa hapa nilipo na changia huu uzi niko ndani ya luxury apartment yangu Monaco.
Ebana una simu mpya!!?? Naona unakosea kinoma kuandikaHPna zote ni mashahid jins pesa ulivyo ngumu kuipata
Unajua maana ya mitaji! Acheni kuingiza watu chaka nyie ndio michawaLakini mkuu kufanya yote hayo inahitajika pesa ,regardless anapesa kweli au hana huwezi kufeki unapesa ukusanye yatima zaidi ya 120 wakale kuku KFC shoping mlimani city ,uwape mitaji mama ntilie na matukio mengine ya misaada kama hayo bila pesa hutoboi na wala tusingekuwa tunamuongelea hapa..san tungemsikia anagombe jambo mahali flani lakini mpango huo hana..ila maskini tunamakasiriko sana aisee emb maskini mwingine ajitokeze afake kama Chief tumuone
Kabla ya kujua kuwa anafanya biashara gani, hebu jiulize ni kwa nini fremu za biashara za Sinza zinalipiwa kodi kubwa halafu zinawekwa pair 5 tu za viatu au shati au gauni piece 4 tu. Hujiulizagi hiyo kodi kubwa inalipwaje kila mwaka na unakuta mtu kapanga fremu hata miaka 10.Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Ukimuona ngedere mjini jua ana mwenyeweHuyo anatumika ku spin mambo kwenye mitandao ,kijana wa Waziri katibu wa Mama ,project ya Serikali kama alivyo Nabii Tito ,angekuwa anafanya bila kuwa na back up ya Kizimkazi zamani angekuwa ashatiwa NYAVUNI ,ukimuona KOBE juu ya mti ujue amewekwa huyo.