Huyu chief Goodlove anafanya biashara gani?

Huyu chief Goodlove anafanya biashara gani?

Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Sadaka!
 
Kweli Wakuu ni lazima tuhoji huyu Chief Godlove na hela zake za maonyesho ana miradi gani ya kumuingizia hizo pesa za maonyesho ? Hatuna wivu lakini ni muhimu pia kujua, maana wenye hela huwa hawapigi nazo picha na kuweka mitandaoni. Tunachokiona mitandaoni ni bidhaa zao zinazowafanya waitwe matajiri lakini hawapigi picha na hela zao. Muhimu TRA Tanzania na vyombo vingine vilichunguze hili. Vijana wengi wanaathirika kisaikolojia wanavyoangalia hizi video na kejeli zake huyu Chief Godlove
Naunga mkono hoja. Tajiri wa kweli hapigi picha na hela. Angalia akina Mzee Bakhresa, Mo, GSM, matajiri wa madini huko Arusha. Hakuna siku utaona wanafanya ujinga huo. Huyu Godlove atakuwa anafanya Money Laundering. Achunguzwe na Mamlaka aonyeshe chanzo cha mapato yake, ulipaji kodi wake na wateja wake wanaompa hizo hela za burebure!! Anaharibu vijana ambao wanaona kuna njia fupi za kupata pesa badala ya kufanya kazi kwa bidii.
 
Bila shaka wala kumungunya maneno HUNA HELA kama unazo za KULA tu .
Fuata mkondo wa shetani kwa kutenda matendo yake (hiyo ndio kumsujudia) kama; wizi, ufisadi, ushirikina, utapeli, uongo, kuumiza watu n.k

Kama wewe una pesa, juwa uko kwenye hiyo njia.
 
Naunga mkono hoja. Tajiri wa kweli hapigi picha na hela. Angalia akina Mzee Bakhresa, Mo, GSM, matajiri wa madini huko Arusha. Hakuna siku utaona wanafanya ujinga huo. Huyu Godlove atakuwa anafanya Money Laundering. Achunguzwe na Mamlaka aonyeshe chanzo cha mapato yake, ulipaji kodi wake na wateja wake wanaompa hizo hela za burebure!! Anaharibu vijana ambao wanaona kuna njia fupi za kupata pesa badala ya kufanya kazi kwa bidii.
Kuna poyoyo mmoja hapo post #133 kani quote eti 🤣🤣🤣
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Acha roho mbaya kijana,uchawi unaanzaga hivi hivi
Tafuta pesa
 
Ila Bongo siku hizi kuna vijana wengi matajiri, Chief God love, Niffer, Viunja bei, Ontario, vijana wengine mnakwama wapi?
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Acha wivu nawewe ,kutakatisha pesa wangekwisha mnasa. pia kutumia mil 40 mlimani si kweli
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Mamlaka zimelala usingizi. Mfanya biashara gani hana TIN ukiambiwa anatakatisha fedha unakataaje
 
Lakini mkuu kufanya yote hayo inahitajika pesa ,regardless anapesa kweli au hana huwezi kufeki unapesa ukusanye yatima zaidi ya 120 wakale kuku KFC shoping mlimani city ,uwape mitaji mama ntilie na matukio mengine ya misaada kama hayo bila pesa hutoboi na wala tusingekuwa tunamuongelea hapa..san tungemsikia anagombe jambo mahali flani lakini mpango huo hana..ila maskini tunamakasiriko sana aisee emb maskini mwingine ajitokeze afake kama Chief tumuone
Unajua maana ya mitaji! Acheni kuingiza watu chaka nyie ndio michawa
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Kabla ya kujua kuwa anafanya biashara gani, hebu jiulize ni kwa nini fremu za biashara za Sinza zinalipiwa kodi kubwa halafu zinawekwa pair 5 tu za viatu au shati au gauni piece 4 tu. Hujiulizagi hiyo kodi kubwa inalipwaje kila mwaka na unakuta mtu kapanga fremu hata miaka 10.
 
Back
Top Bottom