FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hicho unachokiona anafanya ndio biashara yenyewe.Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Ulitaka wapewa mamilioni ndo uwe mtaji mkuu..hata kama wamepewa elf 50 si imebust mitaji yao katika biashara zaoUnajua maana ya mitaji! Acheni kuingiza watu chaka nyie ndio michawa
Huo ni mtaji !!?Ulitaka wapewa mamilioni ndo uwe mtaji mkuu..hata kama wamepewa elf 50 si imebust mitaji yao katika biashara zao
Kuna watu wanatafuta hata hiyo ya kuchomea mahindi hawapati na kuna ma prof na wafanyabiashara wakubwa wamesomeshwa na hayonunayoita mahindi Acha dharau we fedhuliHuo ni mtaji !!?
Au pesa ya kuchoma mahindi
Amejibu swali hilo kisomi sana. Nenda tiktok ukasikilize alivyojibu.Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani
Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40
Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa
Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Jibu swali nguruweTuachane kufatilia mambo ya watu mkuu jali maisha yako mitandao itakukosesha amani yule kijana anasaka "fame"