Huyu chief Goodlove anafanya biashara gani?

Huyu chief Goodlove anafanya biashara gani?

Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Hicho unachokiona anafanya ndio biashara yenyewe.
 
Sidhani kama kuna haja ya kupoteza time yako kuhangaika naye, wanakuaga wa muda tu hao baadae wakiugua figo mnaanza kuchangishana, achana naye mkuu fanya yako..
 
View attachment 3145553View attachment 3145553
download (3).jpeg
download (3).jpeg
 
Kijana naona anakuja kwa kas sna na hata saa hakuna haujuwae kuwa alikuwa nani na anafanya biashara aya kaz gani


Jana aliwachukuwa watoto yatima 120 na kwenda kuwanunulia vitu mlimani city iliyo gharimu milion 40

Jmaa huyu anatoa wapi pesa na serklali na usalama wa taifa huyu isije kuwa. Ni muhujumu uchumi kwahyo kwa kuwa tumia watoto yatima ili atakatishe pesa pesa

Naomba mamlaka imkamate kisha imuhoji
Amejibu swali hilo kisomi sana. Nenda tiktok ukasikilize alivyojibu.
 
Naunga mkono hoja ya kukamatwa kwake, twende mbele zaidi, pia serikali ikamate na masikini wote, yaani wajieleze why wao masikini wakati wengine wanatajirika? The coin has two sides, tusi base only upande mmoja tafadhari
 
Back
Top Bottom