Huyu Clement Mzize ni Hallaand mtupu, tofauti yao labda nywele na rangi tu!

Huyu Clement Mzize ni Hallaand mtupu, tofauti yao labda nywele na rangi tu!

Anasema 18 lakni ukimwangalia ni zaidi ya 30
Anasema baada ya kumaliza shule Tanga alienda kufanya kazi ya uboda boda Iringa, huko ndo akapata connection ya kujiunga yanga! Sasa najiuliza alimaliza 4 akiwa na miaka mingapi, afanye Uboda boda, acheze yanga misimu 2 alafu bado awe na miaka 18? Ila kibongo bongo kila kitu kinawezekana
 
Hili dogo linatisha! ukimuangalia kwa haraka haraka urefu wa miguu yake kama nkwazi.

Huwezi kabisa kumtofautisha na mshambuliaji wa man city earling hallaand! derby ije haraka!

Hawa madogo ndio tunawataka taifa stars!
Kafunga ngapi jana
 
Back
Top Bottom