Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema baada ya kumaliza shule Tanga alienda kufanya kazi ya uboda boda Iringa, huko ndo akapata connection ya kujiunga yanga! Sasa najiuliza alimaliza 4 akiwa na miaka mingapi, afanye Uboda boda, acheze yanga misimu 2 alafu bado awe na miaka 18? Ila kibongo bongo kila kitu kinawezekanaAnasema 18 lakni ukimwangalia ni zaidi ya 30
Kafunga ngapi janaHili dogo linatisha! ukimuangalia kwa haraka haraka urefu wa miguu yake kama nkwazi.
Huwezi kabisa kumtofautisha na mshambuliaji wa man city earling hallaand! derby ije haraka!
Hawa madogo ndio tunawataka taifa stars!