Huyu Comedian wa Kawe Media fm alikuwa anatania tu au alimaanisha?

Aiseeeee

Cc Trudie

Sent from my Iphone 7 plus using JamiiForums app
 
Huyo ni mmiliki wa facebook na hiyo ndio gari yake..

 
Reactions: JMF
Mi naona haina shida kwa maana ni 0.2% ya watanzania wanamiliki magari asilimia 99.8 hawana magari.
Pia ulaji wa mafuta wa gari yangu vits ni mzuri na hauniumizi kichwa.
Tatu wewe wa na ku to mba kama mbwa
 
umaskini ni mbaya sana aisee, kua na vits au ist sio dhambi ila kama unayo moja tu dah inakua taabu sana. Wenzetu wazungu wana vits za kuendea kazini ila weekend unakuta yuko na li commodore cc 4300. Umaskini mbaya sana
 
Mi naona haina shida kwa maana ni 0.2% ya watanzania wanamiliki magari asilimia 99.8 hawana magari.
Pia ulaji wa mafuta wa gari yangu vits ni mzuri na hauniumizi kichwa.
Tatu wewe wa na ku to mba kama mbwa
hizo data ni za kweli? yani kati ya watu 100 wenye magari ni wawili? haiwezekani
 
Zile gari zinaitwa Baby wolker
 
Akamuulize huyo jamaa aliyeliunda hilo gari wakati wazo lilipomjia alikuwa anawaza hayo mawazo kama yake au??
Mtu kuunda hata kijiko huwezi lakini unajifanya kuclass utaalamu wa mwenzio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jirani yangu na yeye anamiliki kajenereta ila kwa kweli kanatusaidia sana, akikuona tu lazima asimamishe.
 
hizo data ni za kweli? yani kati ya watu 100 wenye magari ni wawili? haiwezekani
Tena nadhani mdau kakosea. Ni pungufu ya 2%. Chukulia randomly mtaani kwenu au hata kijijini hesabu bila kujali watoto wadogo jumla ya vichwa mia uangalie ni wangapi wanamiliki magari.
 
Dah! Naona wenye yaleeee.... wanavyokenua meno maninerrr [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…