Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,718
Ni nyingi mno mkuuungeweka hizo post hapa.......
n
Anaushabiki uliopitiliza ninampa F kama wenzake tu!!
Weeee nawe.... kama unajisikia kichefuchefu kwa ushabiki wake, kale malimao..... Au mfollow Wema
Wema wolper walewale tu!!!!!!
Afu nadhani mtoa mada alitakiwa kufuatilia kiundani sio juu juu leo tu, huyo wolper na mwenzake ney wote walikuwa makada wa ccm baada ya lowassa kuhamia ukawa na wao wamehami na kuanza kuiponda ccm ileile waliyokuwa wanaisifu hahahahahaha lowassa siwezi kuuliza kuhusu kuhama kwake ni safi kabisa ila sio hao bendera fuata upepo
ungeweka hizo post hapa.......
n
Wema wolper walewale tu!!!!!!
Afu nadhani mtoa mada alitakiwa kufuatilia kiundani sio juu juu leo tu, huyo wolper na mwenzake ney wote walikuwa makada wa ccm baada ya lowassa kuhamia ukawa na wao wamehami na kuanza kuiponda ccm ileile waliyokuwa wanaisifu hahahahahaha lowassa siwezi kuuliza kuhusu kuhama kwake ni safi kabisa ila sio hao bendera fuata upepo
Yaani huwezi kumfananisha na activist yeyote. Yaani ukichunguza post zote za siasa alizopost Insta utakubaliana na mimi kwamba ameonesha ubunifu wa hali ya juu na weledi wa kumnadi Lowasa na CHADEMA. Hata yeye peke yake kwa quality ya post zake ni zaidi ya akina Wema, Aunt na wengineo ukiwajumlisha wa kambi ya Magufuli. Yaani japo nlikua simjui ni nani ila kupitia post zake nimeona ni mdada anaejielewa kiasi kushinda hao celebrities wengine. Na hata ubongo wake utakuwa na IQ kushinda hao wengine.
Nyinyi wenzangu mlioko insta sijui mmeona vip ukiweka uchama pembeni.
Kwa hiyo huyu Wolper mi nampa alama A na moja kwa moja namtunuku degree ya heshima " HONORIS CAUSA FIRST CLASS"
Huyu si ndo.yule anayessagga wenzie?? Kweli.ana iq kubwa
Wolper ni jembe