Huyu dada ananirusha roho

Huyu dada ananirusha roho

Atakufa soon so ataondoka ila reason behind amepata mkataba wa kuigza tamthilia nyingine.
Uwa nampenda akiwa na wasiwasi
Basi ndio hiyo scandal maana toka aanze kuonekana ana kama mwezi hivi.Unaifatiliaga scandal?
 
Basi ndio hiyo scandal maana toka aanze kuonekana ana kama mwezi hivi.Unaifatiliaga scandal?
Yah ndiyo hiyo scandal, sifuatilii yani tamthlia nayofuatilia ni isindigo tu.
Inaonyeshwa wapi? Nayo ni soap opera au ni hizi zenye mwisho?
 
Yah ndiyo hiyo scandal, sifuatilii yani tamthlia nayofuatilia ni isindigo tu.
Inaonyeshwa wapi? Nayo ni soap opera au ni hizi zenye mwisho?
Inaonyesha e.tv ile ya SA.Napendaga sana series zao ratiba yangu nikimaliza isindigo saa mbili kamili rhythm city,mbili na nusu scandal then tatu kamili gold digger
 
Inaonyesha e.tv ile ya SA.Napendaga sana series zao ratiba yangu nikimaliza isindigo saa mbili kamili rhythm city,mbili na nusu scandal then tatu kamili gold digger
Inaelekea uko deep. Kama ni soap opera ntajaribu fuatilia lakini kama ni series I wont.
 
Daaahh!!! Na mkubalii sana katlego anajua Ku Act utadhani upo nae karibu.
 
Mbona usoni kama mcheza bondia alaf kakomaa
Love is blind najua haulioni hilo
 
I love her...

anavaa uhusika anapoact...anapendeza most of the time... akilia you can feel it...akiwa na furaha you can see it.
hawa wanaomsema vibaya they judged her wrongly
Anakupa hi sana ..?
 
Inaonyesha e.tv ile ya SA.Napendaga sana series zao ratiba yangu nikimaliza isindigo saa mbili kamili rhythm city,mbili na nusu scandal then tatu kamili gold digger
Huwa naangalia rhythm city na scandal...wa-South nimewavulia kofia kwa tamthilia hizi. Namzimia Thembeka.
 
Huwa naangalia rhythm city na scandal...wa-South nimewavulia kofia kwa tamthilia hizi. Namzimia Thembeka.
Ni moja ya watu ninaowachukia sana aiseew na huko alipo siku akija lazima scandal iwe scandal kweli.
 
Ni moja ya watu ninaowachukia sana aiseew na huko alipo siku akija lazima scandal iwe scandal kweli.
Sijaangalia siku nyingi kidogo...Mangi,bra eddy,david nyathi....nishaanza kusahau ngoja nianze kuangalia tena
 
Sijaangalia siku nyingi kidogo...Mangi,bra eddy,david nyathi....nishaanza kusahau ngoja nianze kuangalia tena
Aisee imekua nzuri sana nyati kaondoka baba yake lerumo kaappear yani sasa hivi utamu ndio umefika mahali pake
 
Back
Top Bottom