Huyu dada, hawezi kunipa limbwata kweli?

Kama bado unajitambua hujalimwa mzee baba
 
Kifupi nakupa tu pole maana kazi ya limbwata ni kumfanya mtu amtii mwenzake,sasa wewe tayari una hofu na hujui ufanye nini,hapo kaa kwa kutulia dawa iingie vizuri.
Angekuwa hajakupiga limbwata wewe mwenyewe baada ya kuona humuelewi na hayo mambo yake ungefanya maamuzi ila kwa sasa huna jeuri ya kufanya maamuzi yoyote juu ya mahusiano yenu.
 
Mtego wa panya hunasa wanaohusika na wasiohusika.
All the best katika maisha yako mapya ya kuwa kwenye limbwata
 

Mtu anaye kwenda kwa waganga ni mchawi mchawi!

Kwa hiyo unategemea nini kutoka kwa mchawi? Ukiamua kuingia kwenye mahusiano na mchawi jiandae kwa kila kitu ni lazima utarogwa tuu!

Ukitaka kujiokoa wewe ni kuvunja hayo mahusiano kabisa kinyume na hapo swala la kupewa limbwata au kufanywa zezete litegemee kabisa na watakao sumbuka ni ndugu zako.
 
Watanzania bwana ajiombee vp wakati ana zini na mtu asiye mkewe, ni mungu yupi atamlinda na uchafu anaofanya. Sema akajikinge kwa waganga alilogwe[emoji3][emoji3][emoji3]
Ahahah atubu aachane na mambo ya dunia amrudie muumba wake,kwenda kwa waganga simshauri kabisaaaaaa.

Dawa ni moja tu maombi.
 
Wafanyabiashara ya madini lazima ujizindike otherwise hutapata kitu so hao ndo walivyo kuwa na aman hawez kukuroga

Sisi wakurya hatuoi mwanamke anayetokea
Migodoni
Majini(sehem zenye uvuvi)

Kwa sababu watu wanaotoka hizo sehem waganga kwao ni kama kwenda kanisan tu
 
Rudi kwenu haraka ila ukiendelea kubaki hapo hutoboi huyo anakupiga limbwata sio la kitoto na akija kukuchoka tu anakugeuza msukule
 
Mkuu asikushuulishe huyo ww piga Vizuri tu ila huyo kuwa mke hafai nasema hafai anaweza kutoa kafara watoto huyo ohoooo usiseme sjakwambia Ila hayo mengine unajitisha hakikisha hakupikii kitu, kinywaji fungua mwenyewe , asije kukuomba nguo au kucha, au hata nywele Zako.

Wazee wapwani tunasema uchawi unataka link naww ndo ukudhuru haswa wamapenzi apate nguo, nywele, kucha, akuwekee kitu kwenye kinywaji, chakula au kwenye kitu ukipendacho[emoji3][emoji3][emoji1787] hapo SASA ndo kwenye issue Ila we piga tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…