hillongajonas
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 201
- 441
Kama bado unajitambua hujalimwa mzee babaMkuu, umenitisha sana. Kuna siku alikuwa anapiga safari kwenda field, kabla ya kwenda huko akaenda kwa mtaalamu wake kwa tiba. Aliporudi jioni, akanitafuta tukawa tunapiga bia, katika mazungumzo akaniambia hatonipa penzi mpaka siku tatu zipite, kwa sababu mtaalamu alimzuia, ili tiba ifanye kazi. Kwa hiyo kuna uwezekano walishanipiga chapo...Nami nataka nimkimbie kabla haijawa jioni
Have some class.Siyo kila mwanamke wakulalwa.Nipe ushauri, jahazi lisizame
Usipende kukaa kaa na watu washirikina,imagine maagano anayoyafanya huko makafara,madawa anayolishwa wewe unaanza kukiss nae,Mara umesex nae anakuachia mibalaa yake..Mkuu, nifanyeje ili niwe naye mbali?
Well said mum!huko Ni kujiongeza mikosiHave some class.Siyo kila mwanamke wakulalwa.
Utakuja kupata unachokitafuta wewe endelea tu na tamaa zako za kuchovya chovya.
Mtego wa panya hunasa wanaohusika na wasiohusika.Wakuu habari?
Mnavyojua tena, wanaume tumeumbwa kutamani na kupenda; hivi karibuni niliingia kwenye mahusiano na dada mmoja anafanya biashara ya kununua madini mkoa mmojawapo huko kanda ya ziwa.
Huyo dada nilimpenda kutokana na uchangamfu wake, na uhusiano wetu ulianzia club moja, nilipoenda kupumzisha akili. Ndipo nilipomuona, na kumpatia namba yangu ili aweze kunitafuta. Na kweli alinitafuta, na mahusiano yakawa moto moto.
Mnavyojua tena, mimi huwa napenda kujifunza vitu kupitia watu mbalimbali; nikajaribu kumdadisi namna anavyofanya hiyo biashara, ili ikiwezekana na mimi huko mbeleni niweze kuifanya.
Katika majadiliano, ikaonekana huwa anajihusisha mara kwa mara na mambo ya uganga katika kujikinga na maadui mbalimbali katika hiyo biashara. Yaani yeye kwenda kwa mganga, ni sawa na muumini aliyeshika dini yake anavyoenda kusali siku ya jumapili au ijumaa.
Akiona mdudu yeyote, lazima awasiliane na mtaalamu wake ili kujua kama kuna usalama ama vipi.
Kinachonipa wasi wasi zaidi, jana tulikesha naye maeneo fulani ya mapumziko, akaniambia ana safari leo ya kwenda sehemu, lakini hiyo sehemu anayotaka kwenda inautata, na hawi muazi kuniambia anaenda kufanya nini.
Mbaya zaidi, alikuwa safari ya kama mwezi hivi, ambapo mawasiliano mimi naye yalikuwa yanasua sua hasa kwa upande wangu, nilikuwa simtafuti mara kwa mara.
Kutokumtafuta ikawa ni sehemu ya ajenda; kwa nini nilikuwa nafanya hivyo, au kuna mchepuko mwingine? Nikajaribu kujitetea hapa na pale, lakini likawa limeisha kwa shingo upande.
Hofu yangu; hii safari ambayo ameenda leo, inawezekana anaenda kushughulikia biashara zake, lakini na wasi wasi pia, anaweza kunipiga limbwata nikawa sina jeuri kwake.
Wakuu, nifanyeje ili nikimbie hichi kifungo kinachokuja mbele yangu?
Wakuu habari?
Mnavyojua tena, wanaume tumeumbwa kutamani na kupenda; hivi karibuni niliingia kwenye mahusiano na dada mmoja anafanya biashara ya kununua madini mkoa mmojawapo huko kanda ya ziwa.
Huyo dada nilimpenda kutokana na uchangamfu wake, na uhusiano wetu ulianzia club moja, nilipoenda kupumzisha akili. Ndipo nilipomuona, na kumpatia namba yangu ili aweze kunitafuta. Na kweli alinitafuta, na mahusiano yakawa moto moto.
Mnavyojua tena, mimi huwa napenda kujifunza vitu kupitia watu mbalimbali; nikajaribu kumdadisi namna anavyofanya hiyo biashara, ili ikiwezekana na mimi huko mbeleni niweze kuifanya.
Katika majadiliano, ikaonekana huwa anajihusisha mara kwa mara na mambo ya uganga katika kujikinga na maadui mbalimbali katika hiyo biashara. Yaani yeye kwenda kwa mganga, ni sawa na muumini aliyeshika dini yake anavyoenda kusali siku ya jumapili au ijumaa.
Akiona mdudu yeyote, lazima awasiliane na mtaalamu wake ili kujua kama kuna usalama ama vipi.
Kinachonipa wasi wasi zaidi, jana tulikesha naye maeneo fulani ya mapumziko, akaniambia ana safari leo ya kwenda sehemu, lakini hiyo sehemu anayotaka kwenda inautata, na hawi muazi kuniambia anaenda kufanya nini.
Mbaya zaidi, alikuwa safari ya kama mwezi hivi, ambapo mawasiliano mimi naye yalikuwa yanasua sua hasa kwa upande wangu, nilikuwa simtafuti mara kwa mara.
Kutokumtafuta ikawa ni sehemu ya ajenda; kwa nini nilikuwa nafanya hivyo, au kuna mchepuko mwingine? Nikajaribu kujitetea hapa na pale, lakini likawa limeisha kwa shingo upande.
Hofu yangu; hii safari ambayo ameenda leo, inawezekana anaenda kushughulikia biashara zake, lakini na wasi wasi pia, anaweza kunipiga limbwata nikawa sina jeuri kwake.
Wakuu, nifanyeje ili nikimbie hichi kifungo kinachokuja mbele yangu?
Ahahah atubu aachane na mambo ya dunia amrudie muumba wake,kwenda kwa waganga simshauri kabisaaaaaa.Watanzania bwana ajiombee vp wakati ana zini na mtu asiye mkewe, ni mungu yupi atamlinda na uchafu anaofanya. Sema akajikinge kwa waganga alilogwe[emoji3][emoji3][emoji3]
Rudi kwenu haraka ila ukiendelea kubaki hapo hutoboi huyo anakupiga limbwata sio la kitoto na akija kukuchoka tu anakugeuza msukuleWakuu habari?
Mnavyojua tena, wanaume tumeumbwa kutamani na kupenda; hivi karibuni niliingia kwenye mahusiano na dada mmoja anafanya biashara ya kununua madini mkoa mmojawapo huko kanda ya ziwa.
Huyo dada nilimpenda kutokana na uchangamfu wake, na uhusiano wetu ulianzia club moja, nilipoenda kupumzisha akili. Ndipo nilipomuona, na kumpatia namba yangu ili aweze kunitafuta. Na kweli alinitafuta, na mahusiano yakawa moto moto.
Mnavyojua tena, mimi huwa napenda kujifunza vitu kupitia watu mbalimbali; nikajaribu kumdadisi namna anavyofanya hiyo biashara, ili ikiwezekana na mimi huko mbeleni niweze kuifanya.
Katika majadiliano, ikaonekana huwa anajihusisha mara kwa mara na mambo ya uganga katika kujikinga na maadui mbalimbali katika hiyo biashara. Yaani yeye kwenda kwa mganga, ni sawa na muumini aliyeshika dini yake anavyoenda kusali siku ya jumapili au ijumaa.
Akiona mdudu yeyote, lazima awasiliane na mtaalamu wake ili kujua kama kuna usalama ama vipi.
Kinachonipa wasi wasi zaidi, jana tulikesha naye maeneo fulani ya mapumziko, akaniambia ana safari leo ya kwenda sehemu, lakini hiyo sehemu anayotaka kwenda inautata, na hawi muazi kuniambia anaenda kufanya nini.
Mbaya zaidi, alikuwa safari ya kama mwezi hivi, ambapo mawasiliano mimi naye yalikuwa yanasua sua hasa kwa upande wangu, nilikuwa simtafuti mara kwa mara.
Kutokumtafuta ikawa ni sehemu ya ajenda; kwa nini nilikuwa nafanya hivyo, au kuna mchepuko mwingine? Nikajaribu kujitetea hapa na pale, lakini likawa limeisha kwa shingo upande.
Hofu yangu; hii safari ambayo ameenda leo, inawezekana anaenda kushughulikia biashara zake, lakini na wasi wasi pia, anaweza kunipiga limbwata nikawa sina jeuri kwake.
Wakuu, nifanyeje ili nikimbie hichi kifungo kinachokuja mbele yangu?
Hii ni dalili kama ushadakwaa hivi...Mkuu, nifanyeje ili niwe naye mbali?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji419][emoji375]Tulia iviivo dawa iingie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulia iviivo dawa iingie
Seriously! 😄😄😄Mimi namshauri huyo dada akupige tu limbwata..hata la buku 5 tu akili yako ikae sawa..maana unahangaika si mchezo