Huyu dada ni lijizi lililoshindikana

Huyu dada ni lijizi lililoshindikana

Acha awaibie tu. Kuna demu ukimuona unajua kabisa haya sio mapigo yako,ila unaamua kujipeleka.
 
Yani hii sura nakutana nayo mara kwa mara hasa magroup ya malaya whatsup ukiomba picha tu ya mrembo unatumiwa ya huyu dada ila majina yanakuwa tofauti tofauti
We umeniunga na magroup ya malaya mangapi? Kama umemuona kwenye mamalaya unamlaumu nini sasa?
 
Huyu anafan page nyingsana kama hujawahi kukutana nae usilalamike utakuwa hukuibiwa na yy bali mtu anaetumia picha zake ndo aliyekuibia
 
Sio kweli
Chunguzen kwanza kabla ya kuleta mrejesho hapa
d805755c636fd50e28587795241d2dcc.jpg
0414fdc0eaaad5f14eb45012d84e05fe.jpg
ab2a3c23160fd8243d120f6826100c93.jpg
af6187b08cb3df23b959a94b4c72fb9b.jpg
4a078ffa3f5c370fc432b61ad2c63f27.jpg
679d8b20e7e0c1e7f521b57944e64a53.jpg
a1a7cfabf877cc29c3d85e5c95514ccf.jpg
 
Huyu atakuwa mwizi wa watu. Kuna uwezekano MTU kamwagwa sasa anamalizia hasira zake jf kumharibia. Hebu nipe namba yake nione atakavyoniibia. Teeeehe, teeeehe, teeeeeeeeheeee
 
Anatumia jina gani?

Mwizi huyo inabidi umuepuke
wacha kumchafua huyo dem hana ac fb;yuk ig t anatumia ery cah;dem wak dick sound wa magomen,huyo ni video vixen!
kashawambia watu mara kibao watu wanatumia picha zake kutapeli bt co yy!
 
Shida yake ni moja tuu, ukianza kuchat nae WhatsApp lazima akuombe hela ya lunch tena haombi hela nyingi elfu 20 tuu
 
Wenye tamaa ndiyo watakao pigwa. Kwani anawafata majumbani kwenu si viherehere venu. Acha mpigwe. Dada wapige tu mpaka wafilisike wakuja hao.
 
Jamani eeeh,ukiona sura ya huyu dada inabidi mumuepuke

Ana majina mengi kweli mitandaoni ,muda mwengine anajiita Anna Charles ,muda mwengine Lucy shayo ,muda mwengine Angel Francis,Grace Dominic etc

Kuweni naye makini anajifanya anatafuta marafiki wa kiume kumbe anawaibia
Mkuu una uhakika na hiko unachosema???maana kumbuka kufanya hivo ni kumvunjia mtu heshima"defamation"kwahyo kama unauhakika naunachosema its owk lakin kama sio kweli mkuuu kisheria utakuwa responsible
 
Huyu demu yuko badoo na account tofauti ikiwepo ya jina la Neema.. ukimwomba papuchi anakubali fasta kisha anakuomba elfu 10 ya nauli.. ukimtumia imekula kwako.
 
Kumbuka mpira bro, maana ule uwanja kila aina ya mchezaji anapita
 
Back
Top Bottom