Huyu dada ni 'Star' gani?

Huyu dada ni 'Star' gani?

Duh! Ethical Ninja CEH


cd291f771c96ae4d831462a8262da76e.jpg
Mbona kiwiko cheusi sana hii itakuwa inasababishwa na nini?
 
Anaitwa caroline mndeme wala hajaolewa na mzungu wala mbongo yupo kampuni flani hivi ya photos na ubongo movie.
 
Umejuaje mkuu?? Nadhani wewe ni "ME"...!!! Kma ni "KE" haina tatizo.
Mkuu nadhani kuna vitu vingine tunavisoma tu kujua what's going on.. Sio mpaka uwe involved na wewe mwenyewe so kwenye hiyo hiyo jinsia yangu haina uhusiano wowote na kujua hizo tabia za hao jamaa kupenda kutumia 0712.

Kama unahisi hvyo ulivyohisi sawa kwa sababu kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni.
 
10763106711d0400bb66c1b0ef11817c.jpg

Black fire hii picha uliyoweka umenikumbusha mbali sana nakumbuka ilitumika kunitapeli kama 80 hv hapo nyuma kipindi wa neema mifukoni.. kipindi hiki ndio mitandao inaingia kwa kasi badoo
 
Back
Top Bottom