huyu dada vipi,siriaz nisaidieni jamani

huyu dada vipi,siriaz nisaidieni jamani

Handsome

Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
86
Reaction score
4
kiukweli nimemaliza udom kuna binti nilimwa proach akasema hapana,kisa anadai mi ni handsome sana so siwezi pata wa type yangu hapa chuo,kimsingi i luks attractive even ma rummate tells me,i was student minister in government i went south Africa under sponsorship of state house na anajua it gives me popularity at college much,but simwelewi kabisa ana sms love text like my love,etc ananiletea fud rum,but simwelewi totally,tumemaliza chuo na ndo anasisitiza hivo,ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana tena kwa amani kabisa,na anajua na they ar some how friend,it is ma first time kuja hapa pls walio siriaz na hili air out ur views,pls am so so in need of her in future,na am single,
 
kimsingi i luks attractive even ma rummate tells me,

ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana tena kwa amani kabisa.

So young man, do you mean you look attractive to your Roommate? and you are busy bragging for that?
When you said "...ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana..." do you mean what i understood?
 
kazi ushamaliza mkuu unataka nini kumbe wote ni devorced mbona una kigugumizi kwenye maamuzi..
 
kiukweli nimemaliza udom kuna binti nilimwa proach akasema hapana,kisa anadai mi ni handsome sana so siwezi pata wa type yangu hapa chuo,kimsingi i luks attractive even ma rummate tells me,i was student minister in government i went south Africa under sponsorship of state house na anajua it gives me popularity at college much,but simwelewi kabisa ana sms love text like my love,etc ananiletea fud rum,but simwelewi totally,tumemaliza chuo na ndo anasisitiza hivo,ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana tena kwa amani kabisa,na anajua na they ar some how friend,it is ma first time kuja hapa pls walio siriaz na hili air out ur views,pls am so so in need of her in future,na am single,
Hii grammer ndio ulifundishwa UDOM i doubt. Halafu UDOM ni University au College????
 
Kuna jamaa mmoja hapo UDOM mwaka 2009-10 alijiua baada ya kugundua kuwa kambukizwa ngoma na mwanafunzi mwenzie, umeshahu hio story? Vipi haikupi funzo lolote??
kazi ushamaliza mkuu unataka nini kumbe wote ni devorced mbona una kigugumizi kwenye maamuzi..
 
Si hawajaenda Practical training, eti wamenyimwa boom, pengine nayo inachangia
Dah!! Mkuu hata kama lol!!! Ila hapa kitu ambacho sijaelewa sasa ishu kama hii tunamsaidia nini kuna vitu vingine it's just the matter of your thinking capacity.
 
So young man, do you mean you look attractive to your Roommate? and you are busy bragging for that?
When you said "...ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana..." do you mean what i understood?

Hahahahah....
in the words of Dr. Kikwete, "...sina maana hiyooooo"lol.
 
So young man, do you mean you look attractive to your Roommate? and you are busy bragging for that?
When you said "...ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana..." do you mean what i understood?
Hahahaha!! TANMO i hope you are not thinking what I'm thinking.
 
Ni kweli Mpwa, labda kasoma huko Saint Juma, katoka huko kakimbilia UDOM, yaani Primary alifundishwa na Mwalimu ambaye ni Form Four Failure, jamaa kajitutumua akarisiti akapata credit akaenda A-level, alipofika akafundishwa na jamaa ambaye alikua kamaliza Form six akafeli kwa hio anaganga njaa pale, hapo napo akafaulu kwa three ya mbinde mbinde hivyo hivyo tu.......kufika UDOM duh, kakuta anafundishwa na Vijana wa Kihindi wenye Masters tu, kingereza hakieleweki, matamshi hayasikiki.....mmmhh, haya kaomba aende practical pengine atasikia sikia wenzie huko wanasemaje, ndio hivyo serikali yao pendwa na "inayosikiliza" au sikivu ikishindwa kuwasikia................so hawa ni tokeo la mfum mbovu wa elimu.
Dah!! Mkuu hata kama lol!!! Ila hapa kitu ambacho sijaelewa sasa ishu kama hii tunamsaidia nini kuna vitu vingine it's just the matter of your thinking capacity.
 
Hahahaha!! TANMO i hope you are not thinking what I'm thinking.

The Finnest
bado jamaa mgeni mtamkimbiza bure humu
duh halafu hizo design za kusema kuwa he is handsome na anasifiwa kwa hilo sijapata kusikia mwanaume anasifiwa kwa uzuri bana
 
Mwanamme mzuri! careful Handsome wapemba wakikusikia watakugharamikia kila kitu hadi kieleweke
 
kiukweli nimemaliza udom kuna binti nilimwa proach akasema hapana,kisa anadai mi ni handsome sana so siwezi pata wa type yangu hapa chuo,kimsingi i luks attractive even ma rummate tells me,i was student minister in government i went south Africa under sponsorship of state house na anajua it gives me popularity at college much,but simwelewi kabisa ana sms love text like my love,etc ananiletea fud rum,but simwelewi totally,tumemaliza chuo na ndo anasisitiza hivo,ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana tena kwa amani kabisa,na anajua na they ar some how friend,it is ma first time kuja hapa pls walio siriaz na hili air out ur views,pls am so so in need of her in future,na am single,


Duu mafagio ndugu...kujjibooooooostt..mara nilienda sauz mara nilikuwa minister mara naambiwaw navutia...
AHHH NDO MANA ATA ID YAKO JINA LAKE NIO HANDSAM?
mhh mwanaume kujifagilia wala ainog...imekaa kikike kike....MWANAUME ALIYEKAMILIKA AWEZ AKALALIA SIFA YA UANDSAM..
mwanaume anatambulika kwa swaga zake na si upododo wa kuvutia..km we unavutia ..dadayako je inakuwaje?asemeje?
 
Duu mafagio ndugu...kujjibooooooostt..mara nilienda sauz mara nilikuwa minister mara naambiwaw navutia...
AHHH NDO MANA ATA ID YAKO JINA LAKE NIO HANDSAM?
mhh mwanaume kujifagilia wala ainog...imekaa kikike kike....MWANAUME ALIYEKAMILIKA AWEZ AKALALIA SIFA YA UANDSAM..
mwanaume anatambulika kwa swaga zake na si upododo wa kuvutia..km we unavutia ..dadayako je inakuwaje?asemeje?


Rose1980 taratibu utamkimbiza humu abadilishe mpaka na ID
maana umemua kabisa hapa
Ndo maana nikasema hii design ya kujiboost kuwa yeye ni handsome anaitoa wapi maana mwanaume kujisema wazi kuw ami ni handsome design inashtua
 
Mwanamme mzuri! careful Handsome wapemba wakikusikia watakugharamikia kila kitu hadi kieleweke

Mabagala
Wacha jamaa aendelee kujisifia aone matokeo yake
Design hata dem kamuona mtu wa kujiboost ndo maana anamtosa
 
U handsome wa mwanaume ni jinsi unavyoyakabiki maisha kila siku na ujazo ktk mfuko wako na si sura we dogo. ndio mnavyodanganyana huko chuo? ndo maana huyo dada anakukimbia anajua muuza sura tu wewe huna cha maana. utapendwa na wanaume wenzio arghhhhhhhh
 
kiukweli nimemaliza udom kuna binti nilimwa proach akasema hapana,kisa anadai mi ni handsome sana so siwezi pata wa type yangu hapa chuo,kimsingi i luks attractive even ma rummate tells me,i was student minister in government i went south Africa under sponsorship of state house na anajua it gives me popularity at college much,but simwelewi kabisa ana sms love text like my love,etc ananiletea fud rum,but simwelewi totally,tumemaliza chuo na ndo anasisitiza hivo,ila alikuwa na BF wake wakaachana nami i had mine tukaachana tena kwa amani kabisa,na anajua na they ar some how friend,it is ma first time kuja hapa pls walio siriaz na hili air out ur views,pls am so so in need of her in future,na am single,

Umesahau kitu kimoja, mapenzi hayatafutwi kwa kujikweza, wewe hapa umetanguliza u-handsome wako, madaraka chuoni, kufanikiwa kusafiri nje ya nchi under sponsorship ya state house na u-popularity wako chuoni, hivyo vyote kwenye mapenzi ni sifuri, nataka nikuhakikishie huo u-handsome wako hautalipa zaidi ya kukutia hasara maana inavyoonekana unaujali sana hata username yako inaonyesha hivyo, maisha ni zaidi ya ulivyo kwa mwonekano wa nje..
 
Umesahau kitu kimoja, mapenzi hayatafutwi kwa kujikweza, wewe hapa umetanguliza u-handsome wako, madaraka chuoni, kufanikiwa kusafiri nje ya nchi under sponsorship ya state house na u-popularity wako chuoni, hivyo vyote kwenye mapenzi ni sifuri, nataka nikuhakikishie huo u-handsome wako hautalipa zaidi ya kukutia hasara maana inavyoonekana unaujali sana hata username yako inaonyesha hivyo, maisha ni zaidi ya ulivyo kwa mwonekano wa nje..

Jamaa kajiboost mpaka anatisha na uhandsome wake na majigambo kibao
Ndo maana mwanamke amemuona hana maana akamkimbia na inaonekana anajijali yeye mwenyewe zaidi na sio mpenzi wake
 
Kama unampenda mwambie hutamuumiza. peengine anaogopa huo u handsome wako utapendwa na wengi
 
Rose1980 taratibu utamkimbiza humu abadilishe mpaka na ID
maana umemua kabisa hapa
Ndo maana nikasema hii design ya kujiboost kuwa yeye ni handsome anaitoa wapi maana mwanaume kujisema wazi kuw ami ni handsome design inashtua

ahhh akimbie tu...akajifagilie mbele ukoooo ..amtafute dul sykes wafungue saccos yao...MAFAGIO SACCOS
 
Back
Top Bottom