Huyu 'daktari' bandia wa upasuaji tumfanye nini

Huyu 'daktari' bandia wa upasuaji tumfanye nini

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Dogo mmoja Mkenya ambaye hakukamilisha elimu yake alifaulu kujichomeka ndani ya hospitali kinyemela na akaanza kufanya kazi kama daktari wa upasuaji. Cha kushanganza amefaulu kufanya upasuaji mara nane bila matatizo yoyote.

Madaktari waliofanya kazi naye wanasema hawakua na sababu zozote za kumshuku maana alifanya kazi kwa ustadi wa hali ya juu na alikua makini sana kwa kila alichokifanya. Walipenda kufanya naye kazi na kumheshimu. Pia alionekana kuwa na uelewa wa ndani wa fani ya upasuaji.

Sasa amekuja kuumbuliwa baadaye kwamba yeye sio daktari na hajahitimu kwenye chuo chochote, hii ni baada ya kukosekana stakabadhi au vyeti vyake popote. Amekamatwa na kutiwa ndani, lakini swali pasua kichwa kila Mkenya anawaza nini cha kumfanya, aidha sheria ifuatwe na afungwe na kunyongewa baharini au apelekwe chuo akapate elimu rasmi na kutumikia jamii kwa utashi na uzalendo ambao amedhihirisha tayari anao.

==================================================
The quack doctor arrested in Nandi County last week had performed eight 'successful' surgeries before he was stopped, the county chief health officer says.

Dr Edward Serem told County Health Committee members that Ronald Kiprotich Melly was so meticulous in his work that nobody would have suspected he was unqualified.

Serem tabled a of list of nine surgeries performed by the quack between June 5 to July 14, 2016, in which only one patient died.

“During the surgery he and a group of other doctors carried out, the patient who was then expectant died because she was on 'stage four' of the complication but they managed to save the baby,” Serem said.

The health committee, chaired by Norbert Maiyo, asked the government not to punish Melly but instead train him fully to continue with his good work.

Serem was questioned for two hours by the committee members, who were investigating how the quack was posted to a government hospital.

Before he was arrested by the Kenya Medical and Dentists Practitioners Board, Melly was the medical superintendent at the Meteitei Sub-county hospital.

He was among the 106 doctors, pharmacists and dentists posted to various hospitals across the country on completion of the mandatory one-year internship.

He was posted to the Kapsabet County Referral Hospital by the intergovernmental relations technical committee via a letter dated April 14, 2016.

It emerged that he had failed to complete his internship at Kendu-Bay Mission Hospital but was mysteriously posted as a qualified doctor.

He claimed to have been a medical student at the University of Nairobi, but the university has furiously denied this.

His former school, Tinderet Secondary School, confirmed that Melly scored a C-minus in the 2008 KCSE and is yet to collect his certificate.

The chairman of the board of the institution, advocate Paul Lilan, said during that year, the best grade the class posted was a B-minus and not B as claimed by the suspect.

Also read: Seven quack doctors found busy treating patients in crackdown

Users require no prior registration and should simply send the name of the doctor to 22495 or the online portal health.the-star.co.ke, to get a response whether they are registered with the Board.

Anyone can also type the name of a medical facility in Kenya to verify if it is registered with NHIF. The service also allows the public to search for health specialists nearest to them.

Quack doctor performed eight successful surgeries, Nandi Assembly is told
 
Mbona very simple, na yeye apasuliwe tu tena bila ganzi!!!!! Full stop, waitwe wanafunzi wajifunze jinsi ya kumpasua MTU na kumshona na kufahamu vitu vilivyomo humo ndani!!/ kwanini kuumiza vichwa???
 
Bogus doctor: Lewisham PCT's Conrad De Souza jailed
  • 24 October 2011

Bogus doctor: Lewisham PCT's Conrad De Souza jailed - BBC News

A man who spent a decade pretending to be a doctor at an NHS trust in south London has been jailed for 27 months.

Conrad De Souza, 53, of Whitmore Road, Beckenham, held clinical guidance roles at Lewisham PCT but was "living a lie", the Child Support Agency (CSA) said.

At Croydon Crown Court on Monday, he admitted two counts of obtaining a pecuniary advantage by deception.

De Souza was caught after supplying a fake DNA sample to avoid paying support for his baby, the court heard.

Fraudulently obtained earnings
This led to a full investigation of his background and the discovery he had faked his medical qualifications.


In March, De Souza, a British citizen who was born in Tanzania, pleaded guilty to fraud by false representation in relation to the fake DNA sample.

On Monday, he was jailed for 18 months for the offence against the NHS and nine months for the CSA-related offences, to be served consecutively.

NHS Protect, which investigated De Souza in partnership with Lewisham Primary Care Trust and the Metropolitan Police, said De Souza had fraudulently obtained at least £361,000 in NHS earnings.

It said he resigned from Lewisham PCT, on an unrelated matter, in August 2010.

"This fraud was unusually large, and was a serious abuse of his high position in the NHS. The actions of NHS Protect have prevented him from continuing his criminal career inside the NHS," anti-fraud lead Mick Hayes said.

'Work of fiction'
Stuart Richards, of the CSA, said: "This was perhaps the most sophisticated attempt to cheat a mother and child out of financial support that the CSA has ever seen."

You were an articulate, driven and deeply dishonest man without any apparent conscience about what you were doing
Judge Simon Pratt
In 2009 De Souza was named as the father of a one-year-old child but disputed paternity and asked to take a mouth-swab DNA test, which was negative.

But there were concerns that a signature on a consent form had been forged.

The CSA said the mother also raised "serious doubts" about its authenticity and an investigation subsequently found De Souza had actually used a sample from his elderly father and pretended it was his.

De Souza had been deputy clinical director for the South East London Clinical Cardiac Network and previously a clinical advisor for coronary heart disease and strokes at the PCT.

An NHS Lewisham spokesman said: "In neither of these roles did Mr de Souza treat patients, examine them or prescribe medication."

He said they had "learnt lessons" from the case and more stringent recruitment policies were now in place.

The court heard his curriculum vitae (CV) was a "work of fiction" and he had managed to gain promotion by pretending he was another doctor with a similar name.

"His name was De Souza - with a 'z'- but that man whose qualifications he'd effectively hijacked was De Souza with an 's'," David Horsley of NHS Protect said. "He had altered his name to coincide with the other doctor's name and used the other doctor's GMC registration number."

'Brazen' fraud
Judge Simon Pratt said De Souza lied about the paternity test to "slide out of the moral and financial responsibility for the child" he had fathered.

And he described the fraud, regarding his qualifications, as "brazen".

"You were an articulate, driven and deeply dishonest man without any apparent conscience about what you were doing," he said.

De Souza will next appear in court on 9 March for a confiscation hearing

Jirani, I came across a similar story, this is how the English people dealt with it.
 
Bogus doctor: Lewisham PCT's Conrad De Souza jailed
  • 24 October 2011

Bogus doctor: Lewisham PCT's Conrad De Souza jailed - BBC News

A man who spent a decade pretending to be a doctor at an NHS trust in south London has been jailed for 27 months.

Conrad De Souza, 53, of Whitmore Road, Beckenham, held clinical guidance roles at Lewisham PCT but was "living a lie", the Child Support Agency (CSA) said.

At Croydon Crown Court on Monday, he admitted two counts of obtaining a pecuniary advantage by deception.

De Souza was caught after supplying a fake DNA sample to avoid paying support for his baby, the court heard.

Fraudulently obtained earnings
This led to a full investigation of his background and the discovery he had faked his medical qualifications.


In March, De Souza, a British citizen who was born in Tanzania, pleaded guilty to fraud by false representation in relation to the fake DNA sample.

On Monday, he was jailed for 18 months for the offence against the NHS and nine months for the CSA-related offences, to be served consecutively.

NHS Protect, which investigated De Souza in partnership with Lewisham Primary Care Trust and the Metropolitan Police, said De Souza had fraudulently obtained at least £361,000 in NHS earnings.

It said he resigned from Lewisham PCT, on an unrelated matter, in August 2010.

"This fraud was unusually large, and was a serious abuse of his high position in the NHS. The actions of NHS Protect have prevented him from continuing his criminal career inside the NHS," anti-fraud lead Mick Hayes said.

'Work of fiction'
Stuart Richards, of the CSA, said: "This was perhaps the most sophisticated attempt to cheat a mother and child out of financial support that the CSA has ever seen."

You were an articulate, driven and deeply dishonest man without any apparent conscience about what you were doing
Judge Simon Pratt
In 2009 De Souza was named as the father of a one-year-old child but disputed paternity and asked to take a mouth-swab DNA test, which was negative.

But there were concerns that a signature on a consent form had been forged.

The CSA said the mother also raised "serious doubts" about its authenticity and an investigation subsequently found De Souza had actually used a sample from his elderly father and pretended it was his.

De Souza had been deputy clinical director for the South East London Clinical Cardiac Network and previously a clinical advisor for coronary heart disease and strokes at the PCT.

An NHS Lewisham spokesman said: "In neither of these roles did Mr de Souza treat patients, examine them or prescribe medication."

He said they had "learnt lessons" from the case and more stringent recruitment policies were now in place.

The court heard his curriculum vitae (CV) was a "work of fiction" and he had managed to gain promotion by pretending he was another doctor with a similar name.

"His name was De Souza - with a 'z'- but that man whose qualifications he'd effectively hijacked was De Souza with an 's'," David Horsley of NHS Protect said. "He had altered his name to coincide with the other doctor's name and used the other doctor's GMC registration number."

'Brazen' fraud
Judge Simon Pratt said De Souza lied about the paternity test to "slide out of the moral and financial responsibility for the child" he had fathered.

And he described the fraud, regarding his qualifications, as "brazen".

"You were an articulate, driven and deeply dishonest man without any apparent conscience about what you were doing," he said.

De Souza will next appear in court on 9 March for a confiscation hearing

Jirani, I came across a similar story, this is how the English people dealt with it.

But did they give details of his track record in terms of work and performance. It's one thing dealing with a quack who is only out to make money fraudulently, however it's a different thing altogether when judging against a quack who has successfully operated on eight patients. Especially in African countries where we are grossly and pathetically short of medics.
 
Mbona very simple, na yeye apasuliwe tu tena bila ganzi!!!!! Full stop, waitwe wanafunzi wajifunze jinsi ya kumpasua MTU na kumshona na kufahamu vitu vilivyomo humo ndani!!/ kwanini kuumiza vichwa???

Aisei nimecheka sana, yaani wewe hupendi kuumiza kichwa, unatoa maamuzi papo hapo mbele kwa mbele.
 
Umenikumbusha hekaya ya dikteta mmoja alipotembelea wafungwa jela, kila mfungwa aliyemuona alimuuliza, wewe una kosa gani na umefungwa muda gani? Mmoja akasema aliiba kuku na kafungwa miezi sita, dikteta akasema muongezeeni sita mengine, nchi imejaa chakula hii halafu huyu anaiba kuku.

Mwengine alipoulizwa akasema yeye alibaka mwanamke akahukumiwa miaka 2 jela, akasema huyu muongezeeni miaka 10, maana nchi imejaa wanawake yeye anabaka. Mwengine akasema yeye, amemuingilia mbuzi na amefungwa miaka 3, akasema huyu muongezeeni miaka 7 maana ameharibu kitoweo.

Mmoja alipoulizwa akasema yeye alimwingilia mbwa wa polisi, dikteta akasimama vizuri akamuuliza, mbwa wa polisi umemuingiliaje na wale ni wakali? Mfungwa akasema niliutoboa ungo katikati kisha nikamvesha mbwa shingoni ikawa kila akigeuka nyuma anakutana na ungo, dikteta akamuuliza, umefungwa miaka mingapi, akasema miaka 7, dikteta akasema huyu mwachieni sasa hivi na mpelekeni chuo akasomeshwe vizuri, huyu ana akili nyingi sana za sayansi ya kujihami atatusaidia sana jeshini huyu.


Sasa wewe nyang'au MK254, amua baada ya kusoma hicho kisa huyo unataka afanywe nini?
 
KWA TANAZA GIZA NINGELIOGOPA ILA KWA KENYA KIJANA APATIWE ELIMU VIZURI NA RASMI SASA NA AENDELEE NA KAZI KAMA KAWA.KILA LA KHERI KUOKOA MAISHA YA WANA WA ADAM.MUNGU U MWEMA NA WA AJABU.
 
umenikumbusha movie flani hivi inaitwa "catch me if u can" ya dicaprio jamaa alibadili fani nyingi sana ikiwemo udaktari mpaka urubani,na kutengeneza cheque feki na hakua na elimu yoyote na alikua teenager tu
 
Abanwe pumbu tu hadi aumbue mtandao wote wa vyeti feki. I ealier read this year that a fake doctor in nakuru undertook to circumcise a 6 yr old boy. Daktari feki aliishia kunyofoa nyofoa na kuharibu nyeti za mtoto, leaving him with epispadia,such a sad story, i have the pics ila siwezi ziweka humu. My resident prof in uni used to say kama huwezi elimu, kalime mpunga!!
 
Mmepeleke chuo amalizie shule.
Issue siyo vyeti bali utaalamu.
Tz juzi (mwezi 11 huu ITV Habari) kule Manyara, kabila la wahadzabe (wa Uraq) kuna dogo aliyeishia form3 ndie docta wa wananchi na wananchi wa kabila lake wanamkubali sana!!
Hii ni baada ya ma docta wa serikali kugoma kwenda Bush!!

Cha mhimu kuponya basii. Mmiliki wa FB au Microsoft wote hawana Bachelor ila ni wataalamu wa IT.
 
Umenikumbusha hekaya ya dikteta mmoja alipotembelea wafungwa jela, kila mfungwa aliyemuona alimuuliza, wewe una kosa gani na umefungwa muda gani? Mmoja akasema aliiba kuku na kafungwa miezi sita, dikteta akasema muongezeeni sita mengine, nchi imejaa chakula hii halafu huyu anaiba kuku.

Mwengine alipoulizwa akasema yeye alibaka mwanamke akahukumiwa miaka 2 jela, akasema huyu muongezeeni miaka miaka 10, maana nchi imejaa wanawake yeye anabaka. Mwengine akasema yeye, amemuingilia mbuzi na amefungwa miaka 3, akasema huyu muongezeeni miaka 7 maana ameharibu kitoweo.

Mmoja alipoulizwa akasema yeye alimwingilia mbwa wa polisi, dikteta akasimama vizuri akamuuliza, mbwa wa polisi umemuingiliaje na wale ni wakali? Mfungwa akasema niliutoboa ungo katikati kisha nikamvesha mbwa shingoni ikawa kila akigeuka nyuma anakutana na ungo, dikata akamuuliza, umefungwa miaka mingapi, akasema miaka 7, dikteta akasema huyu mwachieni sasa hivi na mpelekeni chuo akasomeshwe vizuri, huyu ana akili nyingi sana za sayansi ya kujihami atatusaidia sana jeshini huyu.


Sasa wewe nyang'au MK254, amua baada ya kusoma hicho kisa huyo unataka afanywe nini?

Hahaha! Asante, sikujua unaweza kuchangia kwenye mada zisizo za kigaidi na uzombi.
Japo huyo atakua dikteta uchwara maana kutoboa ungo na kumvisha mbwa shingoni sidhani kama ni sayansi ya hali ya juu.
 
jamaa mjasiri sana aisee, anapiga caesearean section za ukweli dah! dunia ina mambo.
 
Mmepeleke chuo amalizie shule.
Issue siyo vyeti bali utaalamu.
Tz juzi (mwezi 11 huu ITV Habari) kule Manyara, kabila la wahadzabe (wa Uraq) kuna dogo aliyeishia form3 ndie docta wa wananchi na wananchi wa kabila lake wanamkubali sana!!
Hii ni baada ya ma docta wa serikali kugoma kwenda Bush!!

Cha mhimu kuponya basii. Mmiliki wa FB au Microsoft wote hawana Bachelor ila ni wataalamu wa IT.

Lakini kule kwa Wahadzabe wewe unaweza kwenda hata kama mtaalam? Wale wala nyani na hawataki mambo yoyote ya kisasa, wabishi balaa.
 
Dogo mmoja Mkenya ambaye hakukamilisha elimu yake alifaulu kujichomeka ndani ya hospitali kinyemela na akaanza kufanya kazi kama daktari wa upasuaji. Cha kushanganza amefaulu kufanya upasuaji mara nane bila matatizo yoyote.

Madaktari waliofanya kazi naye wanasema hawakua na sababu zozote za kumshuku maana alifanya kazi kwa ustadi wa hali ya juu na alikua makini sana kwa kila alichokifanya. Walipenda kufanya naye kazi na kumheshimu. Pia alionekana kuwa na uelewa wa ndani wa fani ya upasuaji.

Sasa amekuja kuumbuliwa baadaye kwamba yeye sio daktari na hajahitimu kwenye chuo chochote, hii ni baada ya kukosekana stakabadhi au vyeti vyake popote. Amekamatwa na kutiwa ndani, lakini swali pasua kichwa kila Mkenya anawaza nini cha kumfanya, aidha sheria ifuatwe na afungwe na kunyongewa baharini au apelekwe chuo akapate elimu rasmi na kutumikia jamii kwa utashi na uzalendo ambao amedhihirisha tayari anao.

==================================================
The quack doctor arrested in Nandi County last week had performed eight 'successful' surgeries before he was stopped, the county chief health officer says.

Dr Edward Serem told County Health Committee members that Ronald Kiprotich Melly was so meticulous in his work that nobody would have suspected he was unqualified.

Serem tabled a of list of nine surgeries performed by the quack between June 5 to July 14, 2016, in which only one patient died.

“During the surgery he and a group of other doctors carried out, the patient who was then expectant died because she was on 'stage four' of the complication but they managed to save the baby,” Serem said.

The health committee, chaired by Norbert Maiyo, asked the government not to punish Melly but instead train him fully to continue with his good work.

Serem was questioned for two hours by the committee members, who were investigating how the quack was posted to a government hospital.

Before he was arrested by the Kenya Medical and Dentists Practitioners Board, Melly was the medical superintendent at the Meteitei Sub-county hospital.

He was among the 106 doctors, pharmacists and dentists posted to various hospitals across the country on completion of the mandatory one-year internship.

He was posted to the Kapsabet County Referral Hospital by the intergovernmental relations technical committee via a letter dated April 14, 2016.

It emerged that he had failed to complete his internship at Kendu-Bay Mission Hospital but was mysteriously posted as a qualified doctor.

He claimed to have been a medical student at the University of Nairobi, but the university has furiously denied this.

His former school, Tinderet Secondary School, confirmed that Melly scored a C-minus in the 2008 KCSE and is yet to collect his certificate.

The chairman of the board of the institution, advocate Paul Lilan, said during that year, the best grade the class posted was a B-minus and not B as claimed by the suspect.

Also read: Seven quack doctors found busy treating patients in crackdown

Users require no prior registration and should simply send the name of the doctor to 22495 or the online portal health.the-star.co.ke, to get a response whether they are registered with the Board.

Anyone can also type the name of a medical facility in Kenya to verify if it is registered with NHIF. The service also allows the public to search for health specialists nearest to them.

Quack doctor performed eight successful surgeries, Nandi Assembly is told
Alikuwa analipwa mshahara?na nani?kama alifanya hyo kazi bure na anaipenda na hakuleta madhara apelekwe chuo akimaliza chuo aajiriwe lakini mwaka mmoja afanye bure kama kawaida yake!"dunia haimlipi kitu mjinga"ipo kwenye kitabu cha Utubora mkulima by Shabaan Robert
 
He is brilliant man. Went to a medical school and failed to take his final exams, as well as completing his internship. He is deft with the scalp, he is clearly good at what he does.
His penalization should only end at the fraudulent manner in which he obtained the job. But he should be trained further and licenced to carry out his task.

I think I can trust him with my life, what the heck.
 
Back
Top Bottom