Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Soma taarifa. Aliandikwa kazi na Wizara ya afya. Bila shaka pesa alikuwa akitia kibindoni.Alikuwa analipwa mshahara?na nani?kama alifanya hyo kazi bure na anaipenda na hakuleta madhara apelekwe chuo akimaliza chuo aajiriwe lakini mwaka mmoja afanye bure kama kawaida yake!"dunia haimlipi kitu mjinga"ipo kwenye kitabu cha Utubora mkulima by Shabaan Robert
Mkiliweza hilo tu basi Kenya itakua ulimwengu mwingneMK254
Tunafaa turdi nyuma zaidi ya hilo swali la huyu daktari mmoja, tuanaa turudi hadi curriculum
au sylabus na system ya elimu hapa kenya, Kama alipata C- ambayo according to KNec, KCSE ni kati ya average of 32%-38% marks out of 100%, na bado ameishia kuwa daktari mzuri, basi hio inadhihirisha system ya elimu yetu imepitwa na wakati, mara nyingi wakenya wengu hushindwa kufanya kazi wanazosienzi eti kwasababu walianguaka mtihani wa chuo cha pili na hawakufuzu kuingia chuo kikuu... \Hapa tuanona mtu aliea anguka mtihani wa chuo cha pili na alieshindwa kufuzu degree na bado ni daktari makinifu na hodari.... Tunafaa tugeuze mfumo wetu wa elimu ukue more practical, demonstrative, cognitive, proof of theories......yani kila wakati wanafunzi wawe wanafundishwa kufanya badala ya kufundishwa kukumbuka ili wapite mtihani, manake ujanga sio kupita kamtihani kamoja....
Mbona very simple, na yeye apasuliwe tu tena bila ganzi!!!!! Full stop, waitwe wanafunzi wajifunze jinsi ya kumpasua MTU na kumshona na kufahamu vitu vilivyomo humo ndani!!/ kwanini kuumiza vichwa???
Wewe!!!!! hiyo haiwezekani..... kuna watu ni mafundi kweli kweli wa mitaani ... ukimchikua umpeleke VETA akijifunze ufundi rasmi na kutambulika kwa cheti ..... piga garagaza ni zero... ni sawa sawa na huyu umpeleke eti akasomee udaktari akakutane na ma GLYCOLYSIS, CREB CYCLE na ma FORMULAR KIBAO YA PHYSIOCHEMISTRY ? Thubutu yako kama haja lala mbele mwenywe.Umenikumbusha hekaya ya dikteta mmoja alipotembelea wafungwa jela, kila mfungwa aliyemuona alimuuliza, wewe una kosa gani na umefungwa muda gani? Mmoja akasema aliiba kuku na kafungwa miezi sita, dikteta akasema muongezeeni sita mengine, nchi imejaa chakula hii halafu huyu anaiba kuku.
Mwengine alipoulizwa akasema yeye alibaka mwanamke akahukumiwa miaka 2 jela, akasema huyu muongezeeni miaka 10, maana nchi imejaa wanawake yeye anabaka. Mwengine akasema yeye, amemuingilia mbuzi na amefungwa miaka 3, akasema huyu muongezeeni miaka 7 maana ameharibu kitoweo.
Mmoja alipoulizwa akasema yeye alimwingilia mbwa wa polisi, dikteta akasimama vizuri akamuuliza, mbwa wa polisi umemuingiliaje na wale ni wakali? Mfungwa akasema niliutoboa ungo katikati kisha nikamvesha mbwa shingoni ikawa kila akigeuka nyuma anakutana na ungo, dikteta akamuuliza, umefungwa miaka mingapi, akasema miaka 7, dikteta akasema huyu mwachieni sasa hivi na mpelekeni chuo akasomeshwe vizuri, huyu ana akili nyingi sana za sayansi ya kujihami atatusaidia sana jeshini huyu.
Sasa wewe nyang'au MK254, amua baada ya kusoma hicho kisa huyo unataka afanywe nini?
Wewe!!!!! hiyo haiwezekani..... kuna watu ni mafundi kweli kweli wa mitaani ... ukimchikua umpeleke VETA akijifunze ufundi rasmi na kutambulika kwa cheti ..... piga garagaza ni zero... ni sawa sawa na huyu umpeleke eti akasomee udaktari akakutane na ma GLYCOLYSIS, CREB CYCLE na ma FORMULAR KIBAO YA PHYSIOCHEMISTRY ? Thubutu yako kama haja lala mbele mwenywe.
The health committee, chaired by Norbert Maiyo, asked the government not to punish Melly but instead train him fully to continue with his good work.
Mkuu, fuateni huu ushauri hapo juu.
Pili napenda kufahamu alishindwa kumaliza kwa kutofaulu? Au ilikuwaje?
Kama kwa kufail mtihani,waangalie continuous Assessment zake, maana kuna hofu uingiapo chumba cha mtihani unaweza shindwa kwa hofu ingawa ulikuwa mzuri darasani.
Ni mtazamo tu.
Nimeacha ujinga na wewe uache ujinga wa kutaka Madaktari feki waendelee kutuulia ndugu, hapo vipi??Wacha ujinga wewe
Hujui kama kaokoa watu wengine
Mahosipitari mengi yana upungufu wa nadaktari kama huyo
Wewe unaona hana maana!!
Watu wanapoteza maisha kukosa upasuaji
Huyo niwakumuongezea Elimu zaidi
Ili asaidie watu