Huyu demu ana ushamba fulani hivi ambao nimegoma kuutambua. Sasa anaumia

Huyu demu ana ushamba fulani hivi ambao nimegoma kuutambua. Sasa anaumia

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Ni kama miezi miwili sasa nlikutana naye Bank fulani town nikiwa naenda weka mkwanja. Akashoboka. Basi mi mlume ndago nikasema hamna noma kama vipi tuunge.

Basi ikawa hivyo. Sasa ana ushamba wa sijui wapi. Eti anaongea kiswahili kama Mkenya. So mara nyingi tunatumia Kiingereza coz anajidai yeye kiswahili ni kwa mbaaaaaaali.

Sasa huo ushamba wa kujifanya Mkenya au kujiona kama mkenya mimi nimeupuuza tu. Simuulizi lolote abt Kenya. Akitoa mifano ya Nairobi nami natoa ambayo ni ya kudiss jiji la Nairobi. Halafu nasifia nchi za Ukweli ambazo nimetembelea. Hapo anakosa raha sana.

Yeye nadhani alifikiri kujifanya Mkenya na Kiswahili cha Kikenya kutampa credit. Sasa mlume ndago sijaonesha kushoboka wala nini. Demu ana Kipulilo (Komwe ) kama chote. Na jina lake la ukoo linaishia na Mushi. Ila anaona sifa kuzungumza kiswahili chenye lafudhi ya Kikenya. Nyapu sana huyu demu.
 
Screenshot_20230519-175754.png
 
Ila maezi huu wa tano mkuu umecharuka Sana. Au dozi zimeshaanza kuexpire? (Kidding)

Kuna yule demu wa kuitwa dokii nae ana swagger hizo hizo za kuongea kikenya wakati yupo bongo Miaka elfu sasa. Ni rafudhi ya hovyo kabisa.
 
Mbona mzazi wako amechelewa sana kukulipia ada.

kuwa makini, wewe honga school fees tukutane mtaani
Mbona mume wako amechelewa sana kukupipia pedi

Kuwa makini, wewe hongwa salary ukutane na wake zao mtaani.
 
Ni kama miezi miwili sasa nlikutana naye Bank flani town nikiwa naenda weka mkwanja. Akashoboka. Basi mi mlume ndago nikasema hamna noma kama vipi tuunge.

Basi ikawa hivyo. Sasa ana ushamba wa sijui wapi. Eti anaongea kiswahili kama Mkenya. So mara nyingi tunatumia Kiingereza coz anajidai yeye kiswahili ni kwa mbaaaaaaali.

Sasa huo ushamba wa kujifanya Mkenya au kujiona kama mkenya mimi nimeupuuza tu. Simuulizi lolote abt Kenya. Akitoa mifano ya Nairobi nami natoa ambayo ni ya kudiss jiji la Nairobi. Halafu nasifia nchi za Ukweli ambazo nimetembelea. Hapo anakosa raha sana.

Yeye nadhani alifikiri kujifanya Mkenya na Kiswahili cha Kikenya kutampa credit. Sasa mlume ndago sijaonesha kushoboka wala nini. Demu ana Kipulilo (Komwe ) kama chote. Na jina lake la ukoo linaishia na Mushi. Ila anaona sifa kuzungumza kiswahili chenye lafudhi ya Kikenya. Nyapu sana huyu demu.
Mademu wengi wa kibongo wana huu ushamba hata watangazaji wa redioni nao wako hivi, kuna mdada mmoja pia anaitwa Veronica Simulizi, mwanzoni alianza kutangaza vizuri baada ya kupata audience sasa anajifanya hajuwi Kiswahili vizuri, yaani wanaboa kishenzi.
 
Back
Top Bottom