Huyu demu veepe!!!

Huyu demu veepe!!!

Boloyoung

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
682
Reaction score
652
[emoji57]
Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kumuomba demu wangu aniazime 10,000/= akanipa.

Baada ya siku mbili nikapata pesa zaidi ya laki nne hivi, nikaamua kumpa 100,000/= mpenzi wangu bila yeye kuniomba.

Baada ya siku 3 akaja kuniambia:- B, ile 10,000/= niliyokuazima mwenyewe amekuja kunidai, so kama unayo naomba unipe nimrudishie maana ananisumbua leo siku ya 3"

SAA HIZI NIPO ZANGU SINGLE NATAFUTA DEMU MWINGINE.
 
Huyo ni sawa na chuma ulete, ila ni haki yake kudai deni ila si kwa namna hiyo, yaani anasema kabisa anasumbuliwa kwa siku mbili sasa??
 
Dawa ya deni ni kulipa,lipa deni hayo ya laki uliyompa ulimpa kwa mapenzi yako kama umpavyo siku zote .....lipa deni
 
Wanaume wa dar bhana...
Acha kulegeza sauti vepee ndio nini?
Kazaa mtoto wa kiume we seme sijui vepee alafu watu waanze kutumia maneno wakijua ndio wale waliotangaziawa vita juzi na Kigwangala
 
Hadi vinachekesha ulitegemea nini kumbe aliikopa mpe akalipe.
 
Wanaume wa dar bhana...
Acha kulegeza sauti vepee ndio nini?
Kazaa mtoto wa kiume we seme sijui vepee alafu watu waanze kutumia maneno wakijua ndio wale waliotangaziawa vita juzi na Kigwangala
Me ni Dume la mbegu weye jiangalie...
 
Back
Top Bottom