Huyu demu veepe!!!

Huyu demu veepe!!!

Huyo ni sawa na chuma ulete, ila ni haki yake kudai deni ila si kwa namna hiyo, yaani anasema kabisa anasumbuliwa kwa siku mbili sasa??
Yani kanikomalia kweli me nimepiga chini
 
[emoji57]
Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kumuomba demu wangu aniazime 10,000/= akanipa.

Baada ya siku mbili nikapata pesa zaidi ya laki nne hivi, nikaamua kumpa 100,000/= mpenzi wangu bila yeye kuniomba.

Baada ya siku 3 akaja kuniambia:- B, ile 10,000/= niliyokuazima mwenyewe amekuja kunidai, so kama unayo naomba unipe nimrudishie maana ananisumbua leo siku ya 3"

SAA HIZI NIPO ZANGU SINGLE NATAFUTA DEMU MWINGINE.
Mh, wanaake wengine hawana fikra, ilibidi ajiongeze mwenyewe, lkn hata hivyo na wewe ile elfu kumi uliazima ilibidi uirudishe kwanza harafu ndio umuhonge hiyo laki moja, kw maana hiyo bado unadaiwa elfu kumi kw kuwa hujarejesha bado
 
Sawa, anatakiwa atumie akili lakini
Siku zote kuishi na mwanamke kunahitaji mwanaume atumie akili,
*akili ya kutafuta pesa
*akili ya kumtuliza na kumtimizia mahitaji yake
*akili ya kutatua matatizo mbali mbali yatakayoibuka ndani ya nyumba
*akili ya kutambua yeye ni kichwa cha familia na mke ni kiwili wili
*akili ya kuto kulia lia na kuomba misaada isiyo ya lazima
-Sasa sijui wewe unaizungumzia akili gani?
 
Siku zote kuishi na mwanamke kunahitaji mwanaume atumie akili,
*akili ya kutafuta pesa
*akili ya kumtuliza na kumtimizia mahitaji yake
*akili ya kutatua matatizo mbali mbali yatakayoibuka ndani ya nyumba
*akili ya kutambua yeye ni kichwa cha familia na mke ni kiwili wili
*akili ya kuto kulia lia na kuomba misaada isiyo ya lazima
-Sasa sijui wewe unaizungumzia akili gani?
Common sense
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na wewe mwambie ile laki ikwapi nilikupa unishikie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
punguzaga kimbelembele we mwambie akate hukohuko hiyo pesa, au unaogopa kuitwa dume suruali

√√ndio iLe unampa kondacta Elf kumi 10000ya nauli ,then anakuuliz hauna 100 hapo , haaaaa[emoji15] [emoji15] [emoji15] si ukate huko huko
 
Back
Top Bottom