Huyu dogo kanishangaza sana, hata mimi nilikuwa hivi ila yeye kazidi

Kuona kitu na kukitambua jina lake ni rahisi sana.
Huyo mwalimu wenu alikuwa akiona mwanafunzi ndio anakumbuka jina lake lakini pengine mkiwa darasani unaweza ukawa haupo na asigundue kwamba haupo kama wewe sio msumbufu darasani, au unakaaga siti ya mbele, unajibugi maswali, au unakaaga nyuma au sifa nyingine yoyote inayokutofautisha na wengine na yupo interested kukufuatilia kuliko wanafunzi wengine.

Okay tufanye hivi. Yawezekana wewe unajua wasanii /waimbaji wengi sana kwa majina na sura.
Lakini leo hii nikikuambia andika majina yao kwenye karatasi unaweza usifikishe hata kumi. Lakini nikimsimamisha mbele yako ndio unakumbuka oooh huyu ni Alikiba. Kwahiyo mkuu kuona kitu na kujua jina lake ni tofauti kabisa na kukumbuka kitu fulani sijakiona leo kama hicho kitu hakina sifa za ziada.
 
KAMA HII SIO CHAI....Mzee auze Ng'ombe hata 10 tu, dogo apelekwe GRAIYAKI-Mara.
 
KAMA HII SIO CHAI....Mzee auze Ng'ombe hata 10 tu, dogo apelekwe GRAIYAKI-Mara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu katafute vitafunwaaa tuu[emoji119][emoji119][emoji119] Sukari imekolea vizuri ng'ombe 800 sio mchezooo
 
usirudie tena kumfananisha huyu dogo na wapuuzi flani wa humu.
 
Sio kawaida kichwa chake kina uwezo mkubwa wa kuprocess na kuhifadhi data zaidi yenu..ila kwakua amezaliwa bara la giza imebidi atumie kipaji chake kukariri ng'ombe wakati kwa wenzetu NASA na CIA wangepiga hodi mapema kujichukulia Asset yao
exactly,I was amazed na huyu dogo ana asili ya upole,unaweza ukakaa nae kama hujamsemesha akakaa kimya hata masaa matano,Mara kibao tu huwaga wanampiga wakidhani ana kiburi,,,,darasani hafanyi vizuri sana ila kwa mambo anayofanya kwa kujisimamia hata ukimpa kazi yuko safi
 
Sio kawaida kichwa chake kina uwezo mkubwa wa kuprocess na kuhifadhi data zaidi yenu..ila kwakua amezaliwa bara la giza imebidi atumie kipaji chake kukariri ng'ombe wakati kwa wenzetu NASA na CIA wangepiga hodi mapema kujichukulia Asset yao
Hamna mkuu NASA na CIA sio rahisi ila kuna organization yao inaitwa MENSA wangeshambeba huwa wanasomeshwas elimu yao binafsi na ni siri mno.
 
Utakuwa GENIUS MKUU au la!! Una OCD
 
"Ngombe wengine wana majina ya viongozi" We jamaa viongozi wa kijiji chenu hicho ni hawa wakulu wetuuu , sauti iko chini bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…