Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Basi utakuwa ni mtu wake wa karibu bila shaka.Hapana sio mimi, mimi ndio kwanza nipo mwaka wa kwanza chuo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi utakuwa ni mtu wake wa karibu bila shaka.Hapana sio mimi, mimi ndio kwanza nipo mwaka wa kwanza chuo.
Hivi hili husababishwa na nini haswa.
Means nchi inahitaji wanaoongea queen's language ili tufike kule!,Mr.kabudi ni mnafiki na mwongo mkubwa,kwanza aniambie pesa yangu aliyotumia kuleta ule uchafu kutoka Madagascar 🇲🇬Prof Kabudi yupo vizuri sana kwenye speech. English na kiswahili chake siku zote huwa vimenyoka.
Prof Kabudi yupo vizuri sana kwenye speech. English na kiswahili chake siku zote huwa vimenyoka.
Ni kweli lakini taifa linahitaji mabadiriko labda ya kifra sio chama wala utawalaAmesema Jenerali Ulimwengu, ogopa sana wajinga wakiwa wengi
Ulinimaanisha nini rafikiSiyo kweli, nadhani hujanielewa.
Tunatokea kijiji kimoja kata mojaBasi utakuwa ni mtu wake wa karibu bila shaka.
Inabidi tumshauri hivyo 😀😀😀😀😀😀Jiajiri mkuu achana na tamaa za teuzi
Hili ndio tatizo kubwa la Waafrika wakipewa nafasi.Wakiteuliwa wanabadilika usicheze na buyu la asali mkuu.
KabisaKutoa maoni ni tofauti na utendaji.
😀😀😀😀😀Hivi tatizo huwa ni nini hapaMtazania akipata uteuzi, akili uwa naiacha kabatini siku ya kuapishwa na hataitumia tena mpaka nafasi anayotumikia itakapochukuliwa.
Nadhani huwa vinaendana boss.Cv ndio utendaji kazi
Ndio tunapofeli mkuu.Hili ndio tatizo kubwa la Waafrika wakipewa nafasi.
hivi nini kifanyike ili wapate kubadirikaNdio tunapofeli mkuu.