ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Yaani wewe una demu wa jf na demu wa mitaani uwiiiHuyu anatofauti gani na yule demu wangu wa JF? Au kisa tu kaolewa na Sugu?
Acheni kukuza vitu vya kawaida sana hivyo.
Watsoro!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wewe una demu wa jf na demu wa mitaani uwiiiHuyu anatofauti gani na yule demu wangu wa JF? Au kisa tu kaolewa na Sugu?
Acheni kukuza vitu vya kawaida sana hivyo.
Yaani wewe una demu wa jf na demu wa mitaani uwiii
Watsoro!
Sasa mbona umefanya tangazo tena? Ungeishia hapo kwenye 'mimi walahi' [emoji23].Mimi walahi
Mimi ni very very attractive alafu pesa imekubaliiiiii
Yaani niko together my brother!
Namshukuru sana Mwenye Enzi Mungu kwa kunijalia walahi
Hahaha changamsha genge tu hizo mimi kwenye jukwaa la siasa tu ndio nipo serious huku kwingine nauza chai tuYaani wewe una demu wa jf na demu wa mitaani uwiii
Watsoro!
HahahahaSasa mbona umefanya tangazo tena? Ungeishia hapo kwenye 'mimi walahi' [emoji23].
Au unataka PM yako ifurike maana ukitangazia vijana uzuri na pesa ni kwikwi.
Jamani uwiiiHahaha changamsha genge tu hizo mimi kwenye jukwaa la siasa tu ndio nipo serious huku kwingine nauza chai tu
Nifanye Marioo/Ben10 basi ISIS sitabishana na wewe tena kwenye jukwaa la siasa..Jamani uwiii
Hahahaha
Ukweli usio pingika wadada wa kileo wana mipunga yao!
Sio tena kusubiri mume walahi
HahahahaNifanye Marioo/Ben10 basi ISIS sitabiahana na wewe tena kwenye jukwaa la siasa..
Nitahamia lumumba hata kishingo upande[emoji23]
Yaani umenichekesha sana walahiNifanye Marioo/Ben10 basi ISIS sitabiahana na wewe tena kwenye jukwaa la siasa..
Nitahamia lumumba hata kishingo upande[emoji23]
Okay naisubiri pm yako.Yaani umenichekesha sana walahi
Itabidi niku pm tu uwiii
Hii inaitwa "win - lose" situation kwa mujibu wa mkulu pale jumba jeupe[emoji23]Kitabia hafai kabisa ila kimuonekano ana nafuu.
Umbo lake ni zuri kuliko lile la Mange lililowekwa hapa siku kadhaa
Itabidi niuone uzuriMimi walahi
Mimi ni very very attractive alafu pesa imekubaliiiiii
Yaani niko together my brother!
Namshukuru sana Mwenye Enzi Mungu kwa kunijalia walahi
Wagogo wengi wame jaaliwa shapeNadhani huyu lengo lake ni kukaa uchi kwa hiyo nguo aliovaa.View attachment 958623